Form Moja ni woga wa kushindwa.Piga kura Yako .
Je unakubali Twende na mama TU mpaka 2030 and may be possible up to 2035.
Au wewe unapendekeza ccm I practice democracy kwa kugawa Forms kwa wagombea yeyote CCM mwenye sifa ya kuiongoza Tanzania .
Wenu katika ujenzi wa Taifa hili changa
Piga kura Yako .
Je unakubali Twende na mama TU mpaka 2030 and may be possible up to 2035.
Au wewe unapendekeza ccm I practice democracy kwa kugawa Forms kwa wagombea yeyote CCM mwenye sifa ya kuiongoza Tanzania .
Anaogopa kivuli chakeNatamani nimsikie yeye mwenyewe ( mama) , analizungumziaje hili swala la kuchua form ya uraisi ccm
Mama yenu akisimama Na Tundu Lissu anangukua SAA moja kasorobo asubuhiPiga kura Yako .
Je unakubali Twende na mama TU mpaka 2030 and may be possible up to 2035.
Au wewe unapendekeza ccm I practice democracy kwa kugawa Forms kwa wagombea yeyote CCM mwenye sifa ya kuiongoza Tanzania .
Wenu katika ujenzi wa Taifa hili changa
Okay ๐.Mama yenu akisimama Na Tundu Lissu anangukua SAA moja kasorobo asubuhi
mama ana vyombo vya dola havitakubali ashindwe, lissu ana wananchi wataka mabadilikoMama yenu akisimama Na Tundu Lissu anangukua SAA moja kasorobo asubuhi
Haha ๐ mkuu, sio kila kitu Dola Huwa wanafanya.mama ana vyombo vya dola havitakubali ashindwe, lissu ana wananchi wataka mabadiliko