KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

  • FREEMAN AIKAEL MBOWE

    Votes: 124 18.2%
  • TUNDU ANTIPAS LISSU

    Votes: 559 81.8%

  • Total voters
    683
  • Poll closed .
Mwenyekiti alishasema ANARUDI mzigoni. Kura sasa ya kazi gani? Maana hata TAL angekuwa anaungwa mkono na wajumbe wote 1200, bado mwenye chama lazima arudi mzigoni.

Hilo ni gumu kweli kuelewa?

Nadhani sasa tujadili ajenda nyingine muhimu zaidi. Hili la uenyekiti liliisha tangu sike ile mchana, TAM aliposema yupo na ataendelea kuwepo!
 
Kwamba atachakachua
 
Lissu ni mwamba.
 
Lissu msomi Mbowe Zero
 
Mpaka mda huu mbowe hawezi tena kututoa hapa tulipo baadhi ya mambo ambayo alidhani yangefaa yamefeli, pili mbowe kuna kila dalili ameishaamua kuungana na watawala itakua ngumu kuwakosoa tena
 
Hivi wagombea ni wawili tu kwenye hiyo nafasi ya uwenyekiti? wengine hawataki?
 
Mbowe yuko soft sana kwa maCCM. Right now we need confrontational politics....eye to eye politicking
Uliwahi kuahidi kujichoma na petrol uchaguzi wa 2020 ila mpaka leo sijalisikia tukio lako. Vp ulijchomea kwenye keyboard? Au ulipost emoj ya moto basi ikawa tayari umetimiza lengo!
 
Pigakura moja tu,

Kwanza, Gusa jina la Unayedhani anafaa kuiongoza CHADEMA kwa Sasa,

Pili, Bonyeza sehemu imeandikwa "Cast Vote"

Mwisho unaweza kuacha ujumbe wa kikampeni kwa wachangiaji wanafuata.
Tunaelekea ukingoni kabisa, Pigakura yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…