KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

  • FREEMAN AIKAEL MBOWE

    Votes: 124 18.2%
  • TUNDU ANTIPAS LISSU

    Votes: 559 81.8%

  • Total voters
    683
  • Poll closed .
Dj Mbowe ameshalamba asali vya kutosha toka anaitwa kijana na mpaka sasa anajiita kijana,tufanye inatosha aende sasa kucheza na wajukuu na tunashukuru kwa mema yake na mabaya tutamsamehe kama akitaka kuachia kwa hiari ila asije akajichanganya ili wahuni tuchukue kinguvu hakuna rangi hatoacha iona.
 
Mbowe ni kiongozi mzuri tu na ameijenga sana Chadema hii haina ubishi lakini kwa aina ya CCM na serikali yake
Mbowe ni kiongozi mzuri tu na ameijenga sana Chadema hii haina ubishi lakini kwa aina ya CCM na serikali yake inavyoendesha siasa za kibabe na kikatili tunamhitaji Lissu aongoze mpambano huu kwa sasa. Tunahitaji siasa za kianaharakati kwa sasa kwani CCM hawataki siasa za kistaarabu na kidemokrasia.

inavyoendesha siasa za kibabe na kikatili tunamhitaji Lissu aongoze mpambano huu kwa sasa. Tunahitaji siasa za kianaharakati kwa sasa kwani CCM hawataki siasa za kistaarabu na kidemokrasia.
Mbowe anafàa sana ,sema kitu ambacho unatakiwa ukijue ni kwamba confrontation politics kwa nchi yetu haifai sababu raia ni waoga mfano wa kuku wa kienyeji .Pale kiongozi wa chama anapotekea amekamatwa basi kiongozi atateseka peke yake raia hawaoneshi mshikamano kwa kuonesha kashi kashi kama vile raia wa Kenya kuishinikiza serikali imuachie kiongozi wao badala yake watu wanakuwa keyboard worrior huku kiongozi akiteseka yeye na familia yake . Uwoga kwa wanachama kutokuwa na moja na viongozi wao kuna wafanya hata viongozi ku dance kwa step wanapofanya mapambano . Lisu ni sawa anaweza confrontation politics lakini jua ya kwamba huyu familia yake ipo ulaya yeye anachofanya ni kuchafua chafua lakini sio kwa lengo la dhati ,yeye anacho taka ni ili kupata political mileage ya watoto na mke wake waishi ulaya ukitambua ya kwamba huyu anatambulika kama mkimbiziwa kisiasa .
 
Kama tuihubiri DEMOKRASIA ya kweli Nchini,
Tusisite kumwambia ukweli Mbowe asisite kuachia kijiti Cha uongozi Kwa wengine.
Kama aliaminiwa na waasisi waliomtangulia yeye hana budi pia kuwaamini wengine pia
Kwa maslahi mapana ya Chama na Taifa kiujumla TUNAENDA NA LISSU
 
Kama tuihubiri DEMOKRASIA ya kweli Nchini,
Tusisite kumwambia ukweli Mbowe asisite kuachia kijiti Cha uongozi Kwa wengine.
Kama aliaminiwa na waasisi waliomtangulia yeye hana budi pia kuwaamini wengine pia
Kwa maslahi mapana ya Chama na Taifa kiujumla TUNAENDA NA LISSU
Nadhani hofu yao kubwa nikukikabidhi chama kwa mamluki.
Ngoja muda utasema
 
ONYO
TEAM KUTOKA MTAA WA LUMUMBA NAOMBA MKAE MBALI MAANA HII SHOW ,NYIE ENDELEENI NA SHOW YENU ALIYE SEMA MWANACHAMA MWENZENU WA BUKOBA YA KUTUTEKA NA KUTUUA ILI MWISHO WENU NDIO HUYU
TALM.
 
HiviNadhani hofu yao kubwa nikukikabidhi chama kwa mamluki.
Ngoja muda utasema
Ni kweli na wanahoja ya msingi
Na hata Mimi binafsi namuona Lissu kama anaumamluki fulani hivi
Lakini mbowe pia ana kaudikteta Fulani
Shida ni kwamba Kwa Kuwa mbowe ameonyesha kuuza chama Kwa watawala na chama kimepoteza mvuto basi hana budi kumwachia mwenzie
 
Pigakura moja tu,

Kwanza, Gusa jina la Unayedhani anafaa kuiongoza CHADEMA kwa Sasa,

Pili, Bonyeza sehemu imeandikwa "Cast Vote"

Mwisho unaweza kuacha ujumbe wa kikampeni kwa wachangiaji wanafuata.
Wewe umepiga?
 
View attachment 3172848
FREEMAN MBOWE-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
View attachment 3172851TUNDU AM LISSU-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Tanzania ni yetu sote!!

Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda wake aliyedumu kwa miaka 20 Mhe Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake anayemaliza muda wake wa miaka mitano Mhe Tundu Lissu,

Kwa uwazi sana naomba tujipe masaa kadhaa ya kupiga kura hapa Jamii forum ili tuwezi kumpata mshindi wetu wa maoni ya awali katika nafasi hiyo muhimu kwa mustakabali wa ustawi wa Tanzània.

Mnafahamu kupitia Jukwaa hili la Jamii Forum zimekuwa zikiendeshwa kura nyingi za maoni mfano ni washindi wa Story of Change na washindi wengine mbalimbali katika Poll tofauti tofauti za kisiasa na Kijamii zilizowahi kuendeshwa kwa uwazi kabisa.

Angalizo, Matokeo haya hayatakuwa ni msimamo wa jukwaa hili la Jamii Forum wala Mimi mleta Uzi wenu ila ni maoni tu na maamuzi ya wapenzi, mashabiki na Wanachama wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi wao wa ndani ya chama.

Lakini ifahamike pia, haya yatakuwa ni maoni tu ambayo pengine yanaweza kubeba uhalisia au Laa hivyo yasipewe uzito sana na watakao ibuka vinara au kushindwa mwishoni mwa zoezi letu kwani yatabaki kuwa ni maoni tu kuelekea kwenye uhalisia.

MWISHO ANDIKA JINA LA ULIYEMCHAGUA NA SABABU ZAKO KAMA HUTOJALI.

•••••••••••••
Huu mnyukano ni balaa aisee
 
Pigakura moja tu,

Kwanza, Gusa jina la Unayedhani anafaa kuiongoza CHADEMA kwa Sasa,

Pili, Bonyeza sehemu imeandikwa "Cast Vote"

Mwisho unaweza kuacha ujumbe wa kikampeni kwa wachangiaji wanafuata.
Pigakura yako
 
Mbowe yuko soft sana kwa maCCM. Right now we need confrontational politics....eye to eye politicking
Huwezi kushindana na dola kwa kupayukapayuka siasa sio uwanaharakati CDM kilikuwq chama cha uharakati sana ila Lowasa aliwafunza thatwhy uliona matokeo yake
Serekali haswa hizi za kiafrika ukijidai una mdomo sana unapotezwa na hakuna chochote utakachofanya
Ok let's say Lisu amepewa kiti then aje na mataamko yake atatulizwa tu itatoka amri hakuna harakati za kisiasa hadi uchaguzi na hakuna mikutano ya ndani wala nje utafanyia wapi siasa zako
Ukileta ujuaji unachezea kesi hadi unafia jela au mahakaman
 
Huwezi kushindana na dola kwa kupayukapayuka siasa sio uwanaharakati CDM kilikuwq chama cha uharakati sana ila Lowasa aliwafunza thatwhy uliona matokeo yake
Serekali haswa hizi za kiafrika ukijidai una mdomo sana unapotezwa na hakuna chochote utakachofanya
Ok let's say Lisu amepewa kiti then aje na mataamko yake atatulizwa tu itatoka amri hakuna harakati za kisiasa hadi uchaguzi na hakuna mikutano ya ndani wala nje utafanyia wapi siasa zako
Ukileta ujuaji unachezea kesi hadi unafia jela au mahakaman
Haya ni mawazo yako na yatabakia kuwa yako
 
Chadema bado inamhitaji Mbowe kwa nyakati hizi. Wanaharakati kupewa Chama kwa nyakati hizi itawawia ngumu kufanya kazi kutokana na miongozo ya vyama vya siasa chini ya Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.
Kama Lisu hafai kwa sasa,Ina maana CHADEMA mwanzo walitaka Watanzania wampe uraisi mwanaharakati ,lakini mwanaharakati asiefaaa kuwa Mwenyekiti anafaa kuwa raisi
 
Back
Top Bottom