zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwani,hatukuongea mara ya kwanza kwamba kura ni siri?View attachment 3172848
FREEMAN MBOWE-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
View attachment 3172851TUNDU AM LISSU-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Tanzania ni yetu sote!!
Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda wake aliyedumu kwa miaka 20 Mhe Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake anayemaliza muda wake wa miaka mitano Mhe Tundu Lissu,
Kwa uwazi sana naomba tujipe masaa kadhaa ya kupiga kura hapa Jamii forum ili tuwezi kumpata mshindi wetu wa maoni ya awali katika nafasi hiyo muhimu kwa mustakabali wa ustawi wa Tanzània.
Mnafahamu kupitia Jukwaa hili la Jamii Forum zimekuwa zikiendeshwa kura nyingi za maoni mfano ni washindi wa Story of Change na washindi wengine mbalimbali katika Poll tofauti tofauti za kisiasa na Kijamii zilizowahi kuendeshwa kwa uwazi kabisa.
Angalizo, Matokeo haya hayatakuwa ni msimamo wa jukwaa hili la Jamii Forum wala Mimi mleta Uzi wenu ila ni maoni tu na maamuzi ya wapenzi, mashabiki na Wanachama wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi wao wa ndani ya chama.
Lakini ifahamike pia, haya yatakuwa ni maoni tu ambayo pengine yanaweza kubeba uhalisia au Laa hivyo yasipewe uzito sana na watakao ibuka vinara au kushindwa mwishoni mwa zoezi letu kwani yatabaki kuwa ni maoni tu kuelekea kwenye uhalisia.
MWISHO ANDIKA JINA LA ULIYEMCHAGUA NA SABABU ZAKO KAMA HUTOJALI.
•••••••••••••
Kuna Asal hawapaswi wengine kulambaMbowe awe na aibu ya kawaida tu
Aibu ya kawaida tuIfike Mahala Mbowe aone Aibu. Hiyo poll hapo inaamuacha uchi.
Ni muda wa TL.
hao watu wawili umewatafuta wewe?Tafuta mwingine unayeona anafaa lakini mjadala huu unawahusu watu wawili tu.
Ndani ya Chadema Tundu Lissu hana Mpinzani.View attachment 3172848
FREEMAN MBOWE-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
View attachment 3172851TUNDU AM LISSU-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Tanzania ni yetu sote!!
Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda wake aliyedumu kwa miaka 20 Mhe Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake anayemaliza muda wake wa miaka mitano Mhe Tundu Lissu,
Kwa uwazi sana naomba tujipe masaa kadhaa ya kupiga kura hapa Jamii forum ili tuwezi kumpata mshindi wetu wa maoni ya awali katika nafasi hiyo muhimu kwa mustakabali wa ustawi wa Tanzània.
Mnafahamu kupitia Jukwaa hili la Jamii Forum zimekuwa zikiendeshwa kura nyingi za maoni mfano ni washindi wa Story of Change na washindi wengine mbalimbali katika Poll tofauti tofauti za kisiasa na Kijamii zilizowahi kuendeshwa kwa uwazi kabisa.
Angalizo, Matokeo haya hayatakuwa ni msimamo wa jukwaa hili la Jamii Forum wala Mimi mleta Uzi wenu ila ni maoni tu na maamuzi ya wapenzi, mashabiki na Wanachama wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi wao wa ndani ya chama.
Lakini ifahamike pia, haya yatakuwa ni maoni tu ambayo pengine yanaweza kubeba uhalisia au Laa hivyo yasipewe uzito sana na watakao ibuka vinara au kushindwa mwishoni mwa zoezi letu kwani yatabaki kuwa ni maoni tu kuelekea kwenye uhalisia.
MWISHO ANDIKA JINA LA ULIYEMCHAGUA NA SABABU ZAKO KAMA HUTOJALI.
•••••••••••••
Kwani kuna mahali ametukana? Tundu Lissu ni mtu very HonestyJamaa hakutakiwa kumsagia kunguni mwenyekiti wake namna ile kama anagombania urais na ccm
Hata kama anagombea uenyekiti lakini angeonesha heshima kidogo kwa mkubwa wake wa cheo alichofanya ni kumkosea adabu
Tukija kwenye mada, kura yangu imeharibika mimi ni chama mdude nyagali yule mwamba angefaa kuwa mwenyekiti, CCM wangenyooka zaidi
Ndio haswaa kiongozi wa CHADEMA anayefaa katika nyakati hizi za utawala katili wa CCMLisu busara ni sifuri kabisa hana haiba ya UONGOZI huyo ni mwanaharakati mwenye vurugu na manano machafu akijificha kwenye mwamvuli wa kujua SHERIA.
Kumsagia mtu kunguni sio kutukana nimezungunza katika muktadha wa uungwanaKwani kuna mahali ametukana? Tundu Lissu ni mtu very Honesty
Hakutakiwa kutumia maneno makali kwa mwenyekiti wake walau angeanza kwa kupongeza jitihada ila badala yake kuanza na kuanza tu ni kukosoa na mambo mengine so poaLisu busara ni sifuri kabisa hana haiba ya UONGOZI huyo ni mwanaharakati mwenye vurugu na manano machafu akijificha kwenye mwamvuli wa kujua SHERIA.
Wenzako wanatumia jeshi la polisi lenye bunduki na vifaru kufanya siasa wewe na maneno yako ya "peoples' power" people wenyewe wanathamini ngono na umbeya kuliko Siasa za nchi yao utawezea wapi ?
Tuwe wa kweli huyu Mzee tunamtupia lawama ambazo hastahili kabisa anafanya maridhiano ili kuokoa wanachama wake wasiendelee kutiwa ulemavu Kama alionao yeye na makamu wake.