KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

  • FREEMAN AIKAEL MBOWE

    Votes: 124 18.2%
  • TUNDU ANTIPAS LISSU

    Votes: 559 81.8%

  • Total voters
    683
  • Poll closed .
I'm endorsing Tundu lissu, kwanza ni mtu sahihi kwa aina ya siasa za CCM za mabavu na pia ni straight shooter hivyo anaipa uhai siasa za upinzani. Ana elimu sahihi, ana uzoefu, exposure na track record nzuri ya uongozi atakayefaa kuipeleka chadema mbele.

Madhaifu yanaweza kuwa ni mkali sana hivyo anaweza timua timua watu akiwa mwenyekiti tofauti na Mbowe ambaye ni mwana diplomasia.

Either way ni wakati wa mabadiliko na Mbowe akiwa smart apishe otherwise akilazimisha atakipasua chama alichokijenga kwa jasho na damu.
 
View attachment 3172848
FREEMAN MBOWE-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
View attachment 3172851TUNDU AM LISSU-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Tanzania ni yetu sote!!

Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda wake aliyedumu kwa miaka 20 Mhe Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake anayemaliza muda wake wa miaka mitano Mhe Tundu Lissu,

Kwa uwazi sana naomba tujipe masaa kadhaa ya kupiga kura hapa Jamii forum ili tuwezi kumpata mshindi wetu wa maoni ya awali katika nafasi hiyo muhimu kwa mustakabali wa ustawi wa Tanzània.

Mnafahamu kupitia Jukwaa hili la Jamii Forum zimekuwa zikiendeshwa kura nyingi za maoni mfano ni washindi wa Story of Change na washindi wengine mbalimbali katika Poll tofauti tofauti za kisiasa na Kijamii zilizowahi kuendeshwa kwa uwazi kabisa.

Angalizo, Matokeo haya hayatakuwa ni msimamo wa jukwaa hili la Jamii Forum wala Mimi mleta Uzi wenu ila ni maoni tu na maamuzi ya wapenzi, mashabiki na Wanachama wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi wao wa ndani ya chama.

Lakini ifahamike pia, haya yatakuwa ni maoni tu ambayo pengine yanaweza kubeba uhalisia au Laa hivyo yasipewe uzito sana na watakao ibuka vinara au kushindwa mwishoni mwa zoezi letu kwani yatabaki kuwa ni maoni tu kuelekea kwenye uhalisia.

MWISHO ANDIKA JINA LA ULIYEMCHAGUA NA SABABU ZAKO KAMA HUTOJALI.

•••••••••••••
Kwani,hatukuongea mara ya kwanza kwamba kura ni siri?
 
Ifike Mahala Mbowe aone Aibu. Hiyo poll hapo inaamuacha uchi.

Ni muda wa TL.
 
Mbowe awe na aibu ya kawaida tu
Kuna Asal hawapaswi wengine kulamba

Jamaa sio smart maana he should have seen that…… na kama alimaanisha ni chama cha familia…. Basi alipaswa kumuandaa mtu way back
 
Jamaa hakutakiwa kumsagia kunguni mwenyekiti wake namna ile kama anagombania urais na ccm

Hata kama anagombea uenyekiti lakini angeonesha heshima kidogo kwa mkubwa wake wa cheo alichofanya ni kumkosea adabu

Tukija kwenye mada, kura yangu imeharibika mimi ni chama mdude nyagali yule mwamba angefaa kuwa mwenyekiti, CCM wangenyooka zaidi
 
Lisu busara ni sifuri kabisa hana haiba ya UONGOZI huyo ni mwanaharakati mwenye vurugu na manano machafu akijificha kwenye mwamvuli wa kujua SHERIA.
 
View attachment 3172848
FREEMAN MBOWE-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
View attachment 3172851TUNDU AM LISSU-MTIA NIA
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Tanzania ni yetu sote!!

Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda wake aliyedumu kwa miaka 20 Mhe Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake anayemaliza muda wake wa miaka mitano Mhe Tundu Lissu,

Kwa uwazi sana naomba tujipe masaa kadhaa ya kupiga kura hapa Jamii forum ili tuwezi kumpata mshindi wetu wa maoni ya awali katika nafasi hiyo muhimu kwa mustakabali wa ustawi wa Tanzània.

Mnafahamu kupitia Jukwaa hili la Jamii Forum zimekuwa zikiendeshwa kura nyingi za maoni mfano ni washindi wa Story of Change na washindi wengine mbalimbali katika Poll tofauti tofauti za kisiasa na Kijamii zilizowahi kuendeshwa kwa uwazi kabisa.

Angalizo, Matokeo haya hayatakuwa ni msimamo wa jukwaa hili la Jamii Forum wala Mimi mleta Uzi wenu ila ni maoni tu na maamuzi ya wapenzi, mashabiki na Wanachama wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi wao wa ndani ya chama.

Lakini ifahamike pia, haya yatakuwa ni maoni tu ambayo pengine yanaweza kubeba uhalisia au Laa hivyo yasipewe uzito sana na watakao ibuka vinara au kushindwa mwishoni mwa zoezi letu kwani yatabaki kuwa ni maoni tu kuelekea kwenye uhalisia.

MWISHO ANDIKA JINA LA ULIYEMCHAGUA NA SABABU ZAKO KAMA HUTOJALI.

•••••••••••••
Ndani ya Chadema Tundu Lissu hana Mpinzani.

Kwenye General Election Dr Samia hatoboi kwa TL.

Washukuru Rasilimali zilizipo wasingetoboa hata kwa kura 30%
 
Jamaa hakutakiwa kumsagia kunguni mwenyekiti wake namna ile kama anagombania urais na ccm

Hata kama anagombea uenyekiti lakini angeonesha heshima kidogo kwa mkubwa wake wa cheo alichofanya ni kumkosea adabu

Tukija kwenye mada, kura yangu imeharibika mimi ni chama mdude nyagali yule mwamba angefaa kuwa mwenyekiti, CCM wangenyooka zaidi
Kwani kuna mahali ametukana? Tundu Lissu ni mtu very Honesty
 
Lisu busara ni sifuri kabisa hana haiba ya UONGOZI huyo ni mwanaharakati mwenye vurugu na manano machafu akijificha kwenye mwamvuli wa kujua SHERIA.
Ndio haswaa kiongozi wa CHADEMA anayefaa katika nyakati hizi za utawala katili wa CCM
 
Lisu busara ni sifuri kabisa hana haiba ya UONGOZI huyo ni mwanaharakati mwenye vurugu na manano machafu akijificha kwenye mwamvuli wa kujua SHERIA.
Hakutakiwa kutumia maneno makali kwa mwenyekiti wake walau angeanza kwa kupongeza jitihada ila badala yake kuanza na kuanza tu ni kukosoa na mambo mengine so poa
 
Wenzako wanatumia jeshi la polisi lenye bunduki na vifaru kufanya siasa wewe na maneno yako ya "peoples' power" people wenyewe wanathamini ngono na umbeya kuliko Siasa za nchi yao utawezea wapi ?

Tuwe wa kweli huyu Mzee tunamtupia lawama ambazo hastahili kabisa anafanya maridhiano ili kuokoa wanachama wake wasiendelee kutiwa ulemavu Kama alionao yeye na makamu wake.

Mbowe ana ulemavu? Ni vigumu kukaa zaidi ya miaka 20 na kuendelea kukubalika vilevile. Hiyo ni asili ya binadamu.
 
Kwakweli Mwamba umetuvusha Mito na Mabonde, sasa ni wakati sasa wa kumuachia Nyegere Matata.

1200px-Honey_Badger.jpg

Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom