mhhhh...! Huna uwezo wa kuwa raisi...!nataka niwe raisi
serikali tatu lakini kusiwe na maraisi watatu
Mimi siyo mtaalamu wa utawala au politics. Walioba anasema jeshi la ulinzi, polisi, usalama wa taifa, mambo ya nje vitakuwa chini ya Rais wajamhuri ya muungano.
1) Je kwanini hawa wengine tuwaite marais ikiwa hawanavyombo vya usalama?
2) Rais wa muungano atawezaje kumiliki vyombo vya usalamana mambo ya nje bila fedha? Unaendesha jeshi kwa hela ya kuomba kutoka kwawashirika?
Huwa naamini Rais anakamilika akiwa na fedha na vyombo vya usalama