Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

Muundo upi wa Muungano unafaa?

  • Serikali 1

    Votes: 81 23.3%
  • Serikali 2

    Votes: 22 6.3%
  • Serikali 3

    Votes: 241 69.5%
  • Sijui

    Votes: 3 0.9%

  • Total voters
    347
  • Poll closed .
Lao nimemsikia waziri wa zanzibar akifafanua ualali wa kua raiya wa hapo ata uwe umetoka tzniabara na kuishi miaka 10 hadi 18 ndo unaruhusiwa kupata kitambulisho cha mkazi. Bora ziwe 3.
 
Natumai mtoto wangu anayetaraji kuzaliwa miezi tisa ijayo ataitwa Mtanganyika.
 
Mimi nahitaji serikali moja tu, na watu wote wawe na haki sawa, yaani wanzibari na watanganyika wawe na haki sawa.
 
Warioba anajibu nashangaa sana vyama vinabishana kuhusu aina ya muungano wakati wananchi wameshamaliza. Naomba niseme jambo hili katiba ya nchi imesha tolewa maoni iweje hii ya sasawanayo lumbana mjengoni ni yao na vyama vyao .
 
Kwani hzi mbili zina kasoro gani!It sounds logical to have one united government than three!
 
kama kweli watanganyika tunautaka muungano basi tuwe na serikali 3 maana tukisema moja wazanzibar hawatokubali kabisa na ukisema mbili ni kichekesho kama tulivyo sasa yaani wazanzibari wawe na serikali yao alafu serikali nyingine itakuwa ya nchi gani kwa maana nyingine wazanzibar wametununua kwa maana chao chao na chetu chao ni maajabu makubwa
 
Serikali 3 ni muhimu na haziepukiki kwa sasa. Zaidi ya hayo hoja zinazotolewa kuunga mkono serikali 3 zina nguvu kuliko hoja dhaifu za wadau wanaounga mkono serikali 2 au 1.
 
serikali tatu lakini kusiwe na maraisi watatu

Mimi siyo mtaalamu wa utawala au politics. Walioba anasema jeshi la ulinzi, polisi, usalama wa taifa, mambo ya nje vitakuwa chini ya Rais wajamhuri ya muungano.

1) Je kwanini hawa wengine tuwaite marais ikiwa hawanavyombo vya usalama?

2) Rais wa muungano atawezaje kumiliki vyombo vya usalamana mambo ya nje bila fedha? Unaendesha jeshi kwa hela ya kuomba kutoka kwawashirika?

Huwa naamini Rais anakamilika akiwa na fedha na vyombo vya usalama

...kwani Jamari Malinzi anajeshi?....
 
Back
Top Bottom