1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Masuala ya ardhi ya Zanzibar hayana tija kabisa kuifanya iwe ya wazanzibar wenyewe na isiwe ya Muungano.
Japan ni kakisiwa kadogo sana lakini kana idadi kubwa zaidi ya mara kumi ya Tanzania .Sasa iweje Zanzibar iwe na hofu ya watanganyika kuishi Zanzibar?
Tatizo sio ardhi .,ni kwamba wazanzibar hawataki mila,desturi na dini za makabila mengine huo ndio ukweli unaofichwa fichwa.
Tanganyika huo ubaguzi haupo hata Muungano ukivunjika achilia mbali kuwa wa serikali tatu.Hata ukiangalia ulaya hizi nchi zenye kutumia mila za kiarabu watu wake wamejaa ulaya lakini wao hawapendi watu wa ulaya waishi kwao.
Ni tatizo ambalo halisahabishwi na aina ya Muungano bali ni hulka za watu.
Japan ni kakisiwa kadogo sana lakini kana idadi kubwa zaidi ya mara kumi ya Tanzania .Sasa iweje Zanzibar iwe na hofu ya watanganyika kuishi Zanzibar?
Tatizo sio ardhi .,ni kwamba wazanzibar hawataki mila,desturi na dini za makabila mengine huo ndio ukweli unaofichwa fichwa.
Tanganyika huo ubaguzi haupo hata Muungano ukivunjika achilia mbali kuwa wa serikali tatu.Hata ukiangalia ulaya hizi nchi zenye kutumia mila za kiarabu watu wake wamejaa ulaya lakini wao hawapendi watu wa ulaya waishi kwao.
Ni tatizo ambalo halisahabishwi na aina ya Muungano bali ni hulka za watu.