Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Watanganyika na Wazanzibari
Mimi ninataka serikali mbili tu na hivi
1. Serikali ya tanganyika
2. serikali ya zanzibar
hakuna haja ya kuendeleza muungano usiokuwa na faida kwa pande zote mbili
muungano ulikuwa wa nyerere na karue na wao wamekufa huu muungano uko hai unafanya nini?
Mzanzibar Huru
#Okinawa .. Zanzibar ni nchi kutokana na katiba yao ya mwaka 2010 which means hawaezi kukubali Serikali moja wala mbili na wanachoshinikiza ni muungano wa mkataba au Serikali tatu ili nayo pia iwe na mamlaka kamili katika masuala ya utawala na umiliki wa rasilimali.
Serikali tatu ili kuonesha usawa wa nchi zote tofouti iliyoposasa ni wapo ambao hawa nufaiki na muungano huu let be open
Serikali tatu ili kuonesha usawa wa nchi zote tofouti iliyoposasa ni wapo ambao hawa nufaiki na muungano huu let be open