Ze Expected
Member
- Nov 24, 2013
- 22
- 1
kama hatuna uchu wa madaraka, umimi na unafk, serikali moja (1) is the BEST OPTION....................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama maana ya muungano ni kila nchi kusurender mamlaka yake na kujenga nchi 1 kama ilivyofanya Tanganyika basi na iwe hivyo kw ZNZ. kwa hiyo muundo sahihi wapaswa kuwa SERIKALI 1
S3 ndo mambo yote
Pendekezo langu ni serikali 3 na Profesa Kabudi keshafafanua uzuri sana sababu ya kuwa nazo ktk
kongamano la katiba na muungano zanzibar.
Mkuu wengi tunakuunga mkono lakini kumbuka wabunge wengi ni wa CCM na wanataka serikali mbili hapa tutafanyaje wakati asilimia kubwa ya waTanzania tuko nje ya Bunge?