Mimi binafsi napenda serikali tatu kwa sababu zifuatazo.
1. Kabla ya maridhiano ya mwaka 1964 hizi nchi mbili zilikuwa ni nchi huru zenye dola zake.
2.Wakati wa maridhiano wananchi hawakuhusishwa kikamilifu juu ya huu muungano kwa pande zote 2, walio husika ni viongozi wa serikali tu kutokana na utashi wao.
3. licha ya makubaliano ya vitu ambavyo viliainishwa kuwa vya muungano kwa sehemu kubwa vimekuwa vikikiukwa na kila upande wa muungano unaamua kivyake pasi kufuata katiba ya muungano.
4.Siasa ndo imeumiliki muungano wa s2 na si uhalisia wa watu.
5.Ili kuwa na Muungano imara kwa sasa ni huu wa shirikisho ambao unatambua mamlaka kamili ya hizi nchi 2 na hivyo kutengeneza muungano wenye kukidhi matakwa ya kikatiba na si kama ilivyo sasa.
Hasara za kutofuata muundo ya s2 au s1.
kwa upande wangu sioni kama kuna hasara yoyote inayo weza jitokeza kwa kutofuata miundo hiyo. kwa kuwa miundo hiyo inachangamoto nyingi na kubwa ikiwemo kutokukubaliwa na wananchi wengi.
1. Kabla ya maridhiano ya mwaka 1964 hizi nchi mbili zilikuwa ni nchi huru zenye dola zake.
2.Wakati wa maridhiano wananchi hawakuhusishwa kikamilifu juu ya huu muungano kwa pande zote 2, walio husika ni viongozi wa serikali tu kutokana na utashi wao.
3. licha ya makubaliano ya vitu ambavyo viliainishwa kuwa vya muungano kwa sehemu kubwa vimekuwa vikikiukwa na kila upande wa muungano unaamua kivyake pasi kufuata katiba ya muungano.
4.Siasa ndo imeumiliki muungano wa s2 na si uhalisia wa watu.
5.Ili kuwa na Muungano imara kwa sasa ni huu wa shirikisho ambao unatambua mamlaka kamili ya hizi nchi 2 na hivyo kutengeneza muungano wenye kukidhi matakwa ya kikatiba na si kama ilivyo sasa.
Hasara za kutofuata muundo ya s2 au s1.
kwa upande wangu sioni kama kuna hasara yoyote inayo weza jitokeza kwa kutofuata miundo hiyo. kwa kuwa miundo hiyo inachangamoto nyingi na kubwa ikiwemo kutokukubaliwa na wananchi wengi.