min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Chama cha wahuni licha ya kuiba kura wapo tayari hata kuteka na kuwaua wale wote wanao wakosoaHivi kweli kabisa uchaguzi wa serikali za mitaa Chama kinachokubalika kuanzia ngazi ya msingi kinaweza kuibiwa kura .
Tuna wanasiasa wa upinzani wasengu sano .
Unaibiwaje kura kwenye mtaa wenye wetu 50 mnaofahamiana. ?
Tatizo wapinzani wanaangalia uchaguzi wa wabunge na madiwani na raisa kwa sababu unatajirisha ghafla bila kujua kuwa kule vijijini wapiga kura ni watu wa kawaida na wana muda wa kupiga kura hata kama mvua inanyesha .
Kijijini hata ndani ya chama CCM hawathubutu kuibana kura wakabaki salama.
Magufuli alibadili siasa za kisanii na ujanja ujanja kwa kuwatoa wahuni wote kuanzia CCM na wapinzani wote piga chini na Wananchi wa kawaida wanafurahi sana kwa sababu walikua JPM alikua anatuambia majibu na majipu walijificha kwenye siasa za kihuno na kikumi .
Leo wahuni wakifanya kama Mzalendo Magufuli itakua ni hatari kwa amani ya nchi.
Mungu ameiondoa Magufuli ili Watanzania wajue kutenganisha kati ya mafisadi na wazalendo . Ndio maana wameibuka wafu kama Mwabukusi, Mpina,Mbarikiwa n.k.
Kama kuna wasengu bado hawaoni kuwa Wahuni wanakosesha nchi hii kuwa na mabadiliko basi tutatawaliwa na wahuni na majizi milele kwa sababu wanapandikiza roho ya penda fedha na utajiri wa kijambazi .
Leo hii kila mtu amegeukia kuwa mwizi na ni ufahari kabisa kuiibia serikali na vyama vyote havikemei ufisadi kwa dhati . Watu hawakumuunga Mkono Mpina kwenye wizi wa mabilioni ya fedha za umma badala yake wanaandamana kwenye mambo ya katiba tuu matokeo yake hakuna waandamanaji.