LGE2024 Kura za Maoni za CCM ngumi zafumuka kila Mahali

LGE2024 Kura za Maoni za CCM ngumi zafumuka kila Mahali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hivi kweli kabisa uchaguzi wa serikali za mitaa Chama kinachokubalika kuanzia ngazi ya msingi kinaweza kuibiwa kura .
Tuna wanasiasa wa upinzani wasengu sano .

Unaibiwaje kura kwenye mtaa wenye wetu 50 mnaofahamiana. ?
Tatizo wapinzani wanaangalia uchaguzi wa wabunge na madiwani na raisa kwa sababu unatajirisha ghafla bila kujua kuwa kule vijijini wapiga kura ni watu wa kawaida na wana muda wa kupiga kura hata kama mvua inanyesha .

Kijijini hata ndani ya chama CCM hawathubutu kuibana kura wakabaki salama.

Magufuli alibadili siasa za kisanii na ujanja ujanja kwa kuwatoa wahuni wote kuanzia CCM na wapinzani wote piga chini na Wananchi wa kawaida wanafurahi sana kwa sababu walikua JPM alikua anatuambia majibu na majipu walijificha kwenye siasa za kihuno na kikumi .

Leo wahuni wakifanya kama Mzalendo Magufuli itakua ni hatari kwa amani ya nchi.

Mungu ameiondoa Magufuli ili Watanzania wajue kutenganisha kati ya mafisadi na wazalendo . Ndio maana wameibuka wafu kama Mwabukusi, Mpina,Mbarikiwa n.k.

Kama kuna wasengu bado hawaoni kuwa Wahuni wanakosesha nchi hii kuwa na mabadiliko basi tutatawaliwa na wahuni na majizi milele kwa sababu wanapandikiza roho ya penda fedha na utajiri wa kijambazi .
Leo hii kila mtu amegeukia kuwa mwizi na ni ufahari kabisa kuiibia serikali na vyama vyote havikemei ufisadi kwa dhati . Watu hawakumuunga Mkono Mpina kwenye wizi wa mabilioni ya fedha za umma badala yake wanaandamana kwenye mambo ya katiba tuu matokeo yake hakuna waandamanaji.
Chama cha wahuni licha ya kuiba kura wapo tayari hata kuteka na kuwaua wale wote wanao wakosoa
 
Tumia akili zaidi utajua ...kuna mikopo na ufisadi wa kila aina ...kila opportunity ya ufisadi wao ndiyo wanatumika ...kuna mambo zaidi ya 100 ya kupiga pesa hadi udalali ndani yake ...milioni 1 ..2.. unapata za kutosha
Kumbe wanagombea nafasi za kuibia na sio kutumikia wananchi,🤔
 
Kwamba unadhani wanafikia hatua ya kupigana na kugombana bure bure tu??!
Nilikua sijui wenyeviti wa mtaa na vitongoji wana nufaika vip ,kwa sababu na naonaga hata hawana maendeleo yoyote ya kusema kuna pesa wanaiba 🤔
 
Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)

Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.

View attachment 3133560View attachment 3133562

Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa.
kwani mpo pote yaani Nangunde kule Nachingwea mpo na kule Itabagumba buchosa napo mpo?
 
Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)

Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.

View attachment 3133560View attachment 3133562

Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
CCM wanafanya kazi ya kuibiana kura wao kwa wao ndio maana wanapigana kama mbwa.wizi huu utaisha sio muda mrefu.
 
Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)

Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.

View attachment 3133560View attachment 3133562

Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Hakuna polisi?! Wameenda wapi? Likizo? Wao na polisi hakuna tofauti, hivyo wao wenyewe ni polisi pia!!!?
 
Rushwa, wizi,makundi, migawanyiko, ulafi wa madaraka, makafara, uchawa, utekaji, kupoteza na kuuana n.k ipo katk DNA ya wanachama wa chama dola kongwe hivyo dhambi hizo zinawatafuna

Na haya ni chembe kidogo kulingana na uovu pia uhalifu ulipo CCM, tutaona mengi .

View attachment 3133679
Angalia hili guluguja lisilokuwa na akili hata chembe
 
Back
Top Bottom