Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆 Kweli Bhana!Rushwa, wizi,makundi, migawanyiko, ulafi wa madaraka, makafara, uchawa, utekaji, kupoteza na kuuana n.k ipo katk DNA ya wanachama wa chama dola kongwe hivyo dhambi hizo zinawatafuna
Na haya ni chembe kidogo kulingana na uovu pia uhalifu ulipo CCM, tutaona mengi .
View attachment 3133679
Chadema ilishaandaa Wagombea wake tangu mwezi wa 8Chadema wapo wanasubiri wagombea watakaoshindwa na ma kuamua "kuhamia upinzani"
Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Watatoana roho, hao siyo watu!Yani hadi uongozi wa serikali za mitaa wanadundana🤔
Wanawake wapigwe marufuku kwenye mambo ya siasa na kupiga kura ...siasa na kupiga kura ziwe kwa wanaume tuKila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Tumia akili zaidi utajua ...kuna mikopo na ufisadi wa kila aina ...kila opportunity ya ufisadi wao ndiyo wanatumika ...kuna mambo zaidi ya 100 ya kupiga pesa hadi udalali ndani yake ...milioni 1 ..2.. unapata za kutoshaDuh sasa mwenyeviti wa mitaa na vitongoji kuna ajira gani apo mkuu?
Sana tu. Kuna ulaji pia uko. Pesa huwa zinawfikia. Ndo hao wanakusanya baadhi ya kodi, pesa za taka nk.Yani hadi uongozi wa serikali za mitaa wanadundana🤔
❌MAFUNZO YA KIJESHI KWA UVCCM KABLA UCHAGUZI WA NINI?🚨Penye riziki hapakosagi vurugu
Upuuzi mtupuPenye riziki hapakosagi vurugu
Mara nyingi barua ya mwenyekiti wa mtaa inatumiwa na wanaoomba ajira nkDuh sasa mwenyeviti wa mitaa na vitongoji kuna ajira gani apo mkuu?
Ni Bora iwe hivyo. Mnaonesha taswira mbaya na kujipambanua mlivyo. Wizi wizi tu la nn hadi aibu!Chadema nyie hamchagui viongozi mnateuliwa tu na mwenyekiti mbowe.
Aibu sana!Hakuna uchaguzi wa ovyo kama wa ccm
Chama cha wahuni ni kile kinacholazimisha kukubalika hata kwa kuiba kura .