Uchaguzi 2020 Kura zaidi ya laki mbili za Urais kuharibika ni jambo la ajabu sana na aibu kubwa kwa nchi

Uchaguzi 2020 Kura zaidi ya laki mbili za Urais kuharibika ni jambo la ajabu sana na aibu kubwa kwa nchi

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Yani kuacha Magufuli na Lissu, unakuja kugundua kuwa mshindi aliyeshika nafasi ya tatu kati ya hao 15 ni kura zilizo haribika. Yani zaidi ya kura laki mbili ziliharibika. Ni kura nyingi kuliko za mgombea Ibrahim Lipumba ambaye alizunguka nchi nzima kuomba kura.

Ni kura nyingi kuliko kura za wagombea watano watano ukiweka kimafungu kuanzia aliyeshika nafasi ya tatu hadi mwisho.

Kwa maana nyingine, wapo watanzania zaidi ya laki mbili walienda kupiga kura huku wakiwa hawajui cha kufanya. Hii ni idadi ya juu sana. NEC walitoa elimu gani kwa mpiga kura?

Wapo watanzania waliojiandikisha kupiga kura ambao ni kaki mbili na ushee huku wakiwa na kiwango kikubwa cha ujinga vichwani mwao.

Haiingii akilini eti mshindi wa tatu kwenye uchaguzi mkuu anapitwa tena kwa mbali sana na idadi ya kura zilizoharibika (Ukizidisha kura za mshindi wa tatu mara tatu bado hukuti idadi ya kura zilizoharibika). Aisee sisi watanzania wengi wetu ni wajinga wa kiwango cha mwisho kwa idadi hii ya kura zilizoharibika.
 
Ukute kuna watu walikuw na hasira sana kweny kupiga kura, anaweka tiki kwa lissu afu anaweka x kwa magu kisa hampendi.
Hivi hata kama kuiba kweli 12.5m labda ukamuongezea Lissu 3m+1.9 za kwake inakuwa 4.9m ,na Magu anabaki na 9.5m kwa wale 14m waliopiga kura ila ukisema Magu amgawie 3m za kwake alizoshinda basi Magu nabaki na 7.6 bado Lissu anachapwa.

Mshindi bado anakuwa Magu kwa Kura 9.5m na Lissu anakuwa na 4.9 sasa itakuwa maajabu sana kura 3m kaibiwa Lissu hapana ni nyingi mno.

Makosa ilikuwa kila jimbo linataka kuweka figisu kwa ngazi ya Ubunge na Madiwani kwa kuwasumbua mawakala tu ila sio kwa kura za Raisi hizo ni halali japo changamoto za mahesabu lazima ziwepo.

Mimi namashaka na madai ya Chadema mfano wote Wagombea Uraisi waliulizwa wanauonaje uchaguzi wakasifia ''uko vizuri sana labda kama kwenye kituo hiki nilipo sijajua hivo vingine'' Lissu .
Sasa kimbembe kinakuja pale yanapoanza kutangazwa maana hata kwake kapigwa vibaya mno ina maana hakuona ?

Wengi wapo dissapointed na matokeo ya Wabunge ila sio kwa Rais hata tunduma ni jimboni kwa Mbunge hawapingi ya Raisi maana wanajua kashinda kwa halali.
 
Hivi hata kama kuiba kweli 12.5m labda ukamuongezea Lissu 3m+1.9 za kwake inakuwa 4.9m ,na Magu anabaki na 9.5m .

Mshind bado anakuwa Magu kwa Kura 9.5m na Lissu anakuwa na 4.9 sasa itakuwa maajabu sana kura 3m kaibiwa Lissu hapana ni nyingi mno.

Makosa ilikuwa kila jimbo linataka kuweka figisu kwa ngazi ya Ubunge na Madiwani kwa kuwasumbua mawakala tu ila sio kwa kura za Raisi hizo ni halali japo changamoto za mahesabu lazima ziwepo.

Mimi namashaka na madai ya Chadema mfano wote Wagombea Uraisi waliulizwa wanauonaje uchaguzi wakasifia ''uko vizuri sana labda kama kwenye kituo hiki nilipo sijajua hivo vingine'' Lissu .
Sasa kimbembe kinakuja pale yanapoanza kutangazwa maana hata kwake kapigwa vibaya mno ina maana hakuona ?

Wengi wapo dissapointed na matokeo ya Wabunge ila sio kwa Rais hata tunduma ni jimboni kwa Mbunge hawapingi ya Raisi maana wanajua kashinda kwa halali.
Kura halali hazikuhesabiwa mkuu. Baada ya upigaji kura kumalizika ile jioni polisi kwenye kila kituo walileta karatasi nyingine za form zenye matokeo na ndiyo maana mawakala wote wakaondolewa. Yani kura halali hazikuhesabiwa kabisaaaaaa
 
Na
Kura halali hazikuhesabiwa mkuu. Baada ya upigaji kura kumalizika ile jioni polisi kwenye kila kituo walileta karatasi nyingine za form zenye matokeo na ndiyo maana mawakala wote wakaondolewa. Yani kura halali hazikuhesabiwa kabisaaaaaa
Na hili linathibitishwa na kauli ya lisu aliyoitoa pale kawe wakati wa kufunga kampeni kwamba tume imeandaa kura mil.12 za kumpa jiwe na ndio hizo hizo tume iliyozitangaza,kwa hiyo inavyoonekana matokeo yaliyotangazwa tayari karatasi zilipigwa kura kabla..na kura halali zilizopigwa na wananchi inaonekana hadi sasa hazijahesabiwaaa
 
Watu wazima 200,000+ kuharibu kura kwa ujinga au makusudi (ujinga zaidi) ni aibu kubwa kwa Tume na vyama vya siasa pia.

Kuna watu waliharibu kura baada ya mhemuko kuripuka na kuwacontrol wao baada tu ya kuiona sura ya Magufuli/Lissu/Lipumba/Membe wakati muhimu wa kuweka tick

Kazi ya kutoa elimu sahihi kwa wapiga kura ilikuwa sio ya Tume ya Uchaguzi peke yao. Kuna haja pia ya NEC kutoa takwimu sahihi ya kiwango cha uharibufu wa kura hasa zile ambazo labda tick ilizidi kidogo tu nje ya lile box
 
Kura halali hazikuhesabiwa mkuu. Baada ya upigaji kura kumalizika ile jioni polisi kwenye kila kituo walileta karatasi nyingine za form zenye matokeo na ndiyo maana mawakala wote wakaondolewa. Yani kura halali hazikuhesabiwa kabisaaaaaa
Acha uongo wewe. Kila kituo kilipomaliza kilihesabu kura palepale na kupandika matokeo kituoni. Kubali tu mmepigwa!
 
Cha kusikitisha zaidi NEC walisema mtu akikosea anaweza kuomba kurudia tena kupigia kura, inamaana hao waliokosea ni wajinga kabisa kiasi cha kwamba hata walishindwa kujua kama wameharibu kura yaom

 
Ukute kuna watu walikuw na hasira sana kweny kupiga kura, anaweka tiki kwa lissu afu anaweka x kwa magu kisa hampendi.
ukifanya hivyo hiyo ni kura halali

watu wengi walikuwa wanapiga tiki sehemu zaidi ya tatu
 
Ukute kuna watu walikuw na hasira sana kweny kupiga kura, anaweka tiki kwa lissu afu anaweka x kwa magu kisa hampendi.
Nasikia kwa mujibu wa semina ukiweka X kwenye nembo ya chama chochote inahesabiwa kuwa kura nilipoambiwa na wasimamizi nilishangaa kimoyomoyo😳
 
Yani kuacha Magufuli na Lissu, unakuja kugundua kuwa mshindi aliyeshika nafasi ya tatu kati ya hao 15 ni kura zilizo haribika. Yani zaidi ya kura laki mbili ziliharibika. Ni kura nyingi kuliko za mgombea Ibrahim Lipumba ambaye alizunguka nchi nzima kuomba kura.

Ni kura nyingi kuliko kura za wagombea watano watano ukiweka kimafungu kuanzia aliyeshika nafasi ya tatu hadi mwisho.

Kwa maana nyingine, wapo watanzania zaidi ya laki mbili walienda kupiga kura huku wakiwa hawajui cha kufanya. Hii ni idadi ya juu sana. NEC walitoa elimu gani kwa mpiga kura?

Wapo watanzania waliojiandikisha kupiga kura ambao ni kaki mbili na ushee huku wakiwa na kiwango kikubwa cha ujinga vichwani mwao.

Haiingii akilini eti mshindi wa tatu kwenye uchaguzi mkuu anapitwa tena kwa mbali sana na idadi ya kura zilizoharibika (Ukizidisha kura za mshindi wa tatu mara tatu bado hukuti idadi ya kura zilizoharibika). Aisee sisi watanzania wengi wetu ni wajinga wa kiwango cha mwisho kwa idadi hii ya kura zilizoharibika.
Chadema hao,
Yani kuacha Magufuli na Lissu, unakuja kugundua kuwa mshindi aliyeshika nafasi ya tatu kati ya hao 15 ni kura zilizo haribika. Yani zaidi ya kura laki mbili ziliharibika. Ni kura nyingi kuliko za mgombea Ibrahim Lipumba ambaye alizunguka nchi nzima kuomba kura.

Ni kura nyingi kuliko kura za wagombea watano watano ukiweka kimafungu kuanzia aliyeshika nafasi ya tatu hadi mwisho.

Kwa maana nyingine, wapo watanzania zaidi ya laki mbili walienda kupiga kura huku wakiwa hawajui cha kufanya. Hii ni idadi ya juu sana. NEC walitoa elimu gani kwa mpiga kura?

Wapo watanzania waliojiandikisha kupiga kura ambao ni kaki mbili na ushee huku wakiwa na kiwango kikubwa cha ujinga vichwani mwao.

Haiingii akilini eti mshindi wa tatu kwenye uchaguzi mkuu anapitwa tena kwa mbali sana na idadi ya kura zilizoharibika (Ukizidisha kura za mshindi wa tatu mara tatu bado hukuti idadi ya kura zilizoharibika). Aisee sisi watanzania wengi wetu ni wajinga wa kiwango cha mwisho kwa idadi hii ya kura zilizoharibika.
Chadema hao, badala ya kuwaelimisha wapiga kura wao jinsi ya kupiga kura, walikuwa wanahamasisha maandamano tu! Ona sasa kura zilivyoharibika! Chadema bure kabisa
 
Acha uongo wewe. Kila kituo kilipomaliza kilihesabu kura palepale na kupandika matokeo kituoni. Kubali tu mmepigwa!
Malumba TUNDURU alishinda diwani wa chadema mpaka saa Tisa usiku msmamizi alishindwa kubandika wakaja polisi yakabandikwa kuwa CCM kidedea wananchi wakafanya furungu wavunja nyumba na ofisi za serikali.kalulu pia yamebadilshwa
Muhuwesi TUNDURU alishinda wa upinzani zikatokea fujo kubwa.
Namiungo pia TUNDURU shughuli hiyohiyo.hizo ni uchache hapa TUNDURU.
Hali iko hivyo Ila maandamano ni umwagaji damu amani iwepo hata Kama haki imeminywa .wapinzani tafuteni njia nyingine msiwaimgize wananchi motoni
 
ukifanya hivyo hiyo ni kura halali

watu wengi walikuwa wanapiga tiki sehemu zaidi ya tatu
Ukiweka alama yoyote sehemu mbili ushaharibu kurà. Ila ukiweka hata x tu kwa mgombea yeyot( sehemu moja) ni kura halali
 
Back
Top Bottom