Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #21
Hujajibu kuwa umeelewa!Kuhusu ugumu kuelewa nikuulize wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu kuwa umeelewa!Kuhusu ugumu kuelewa nikuulize wewe
HONGERA MWABUKUSI,TEC NA WOTE WALIOBWEKEA WAOVUView attachment 2789961
Rais Samia Suluhu Hassan
Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.
Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:
- Watanzania wengi tunapenda uwekezaji na nchi iweze kuvutia mitaji toka kote duniani
- Mchakato wa kwanza jinsi ya kumpata muwekezaji DP World uligubikwa na usiri
- Mchakato huo wa awali haukuzingatia maslahi ya wazi kabisa kitaifa
- Taratibu za manunuzi ya umma kwa kuzingatia uhusika na uhalali vyombo husika kwa mkataba na DPW haukuwepo wazi.
Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.
Ingawaje kuna wakati mama Samia alionyesha kukerwa na lawama nyingi, lakini cha msingi na cha kuigwa na viongozi wajao ni kushughulikia matatizo kwa mafanikio na maslahi ya nchi.
Sasa kina Mwabukusi na Slaa inabidi watafute soo jingine, waliyoonyesha yameshughulikiwa.
Kitu cha msingi sasa hivi ni kujitathmini: how did Ikulu get it so wrong mwanzoni?
Waliotoa na kuratibu ushauri hasi watawajibika vipi?
Otherwise kwa sasa:
Hongera mama Samia maana hongera hizo unastahili, kwa kondoa wingu lililokuwa limetanda.
Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga
Kaa kimya kama huna hoja za kujadili, nchi hii ni yetu sote! Haya tumia hiyo haki yako vibaya. Muda sio mrefu utaelewa wazoefu wa ku deal na polisi, kama viongozi wa vyama vya siasa wanaojua mipaka yao kwanini hizo lugha za mapinduzi wanawaachia wenyewe na kwanini Lissu hataki hayo majukwaa...www.jamiiforums.com
CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi. Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania. Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa...www.jamiiforums.com
CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa. Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025. https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-kwa-mtaji-wa-ukakasi-wa-suala-la-bandari-kaeni-mguu-sawa-kungolewa.2113301/page-2#post-46992236 Suala...www.jamiiforums.com
Mwabukusi bado yupoImagine China na Oman investment ya $10 billion, Bagamoyo port; serikali ilipiga hesabu za ROI on investment. Based on potential future income the ‘optimistic return on investment’ was 15 years and worst case scenario miaka 25.
Serikali ikataka kuwapa mkataba wa 33 years only, hiyo waliamini inatosha kurudisha hela yao na kuvuna faida.
Leo mnaenda wapa watu port kwa miaka 30 kwa uwekezaji usiofika hata $1 billioni moja.
Shamba la bibi.
Shida aikuwa kwenye IGA watu mmeelezwa wee kile ni kitu gani; amtaki kuelewa mnajazana ujinga.
It’s from those false premises zenu za IGA ndio mwarabu kawatandika kumbe mnafikiria miaka 100 wakati angepewa miaka 20 sehemu nyingine kwa hela hiyo bahati.
Kumbe mnafikiria kuchukua ubia wakati bandari yenu wenyewe yeye alikuwa apewe lease tu; kwenye mapato nyie mnauwezo wa kumpangia achukue kiasi gani kwenye kurudisha hela yake.
Sijawahi ona nchi ya ovyo kama Tanzania.
Shida aikuwa kwenye IGA, shida ilikuwa inakuja kwenye lease agreements na nyie mlishawatengenezea waarabu bargaining chip kwa kutumia uongo (ujinga wenu wenyewe) ndio wameingia nao mezani na kuwatandika.
What a pity
Mfano wa kuigwa na marais wajao.View attachment 2789961
Rais Samia Suluhu Hassan
Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.
Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:
- Watanzania wengi tunapenda uwekezaji na nchi iweze kuvutia mitaji toka kote duniani
- Mchakato wa kwanza jinsi ya kumpata muwekezaji DP World uligubikwa na usiri
- Mchakato huo wa awali haukuzingatia maslahi ya wazi kabisa kitaifa
- Taratibu za manunuzi ya umma kwa kuzingatia uhusika na uhalali vyombo husika kwa mkataba na DPW haukuwepo wazi.
Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.
Ingawaje kuna wakati mama Samia alionyesha kukerwa na lawama nyingi, lakini cha msingi na cha kuigwa na viongozi wajao ni kushughulikia matatizo kwa mafanikio na maslahi ya nchi.
Sasa kina Mwabukusi na Slaa inabidi watafute soo jingine, waliyoonyesha yameshughulikiwa.
Kitu cha msingi sasa hivi ni kujitathmini: how did Ikulu get it so wrong mwanzoni?
Waliotoa na kuratibu ushauri hasi watawajibika vipi?
Otherwise kwa sasa:
Hongera mama Samia maana hongera hizo unastahili, kwa kondoa wingu lililokuwa limetanda.
Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga
Kaa kimya kama huna hoja za kujadili, nchi hii ni yetu sote! Haya tumia hiyo haki yako vibaya. Muda sio mrefu utaelewa wazoefu wa ku deal na polisi, kama viongozi wa vyama vya siasa wanaojua mipaka yao kwanini hizo lugha za mapinduzi wanawaachia wenyewe na kwanini Lissu hataki hayo majukwaa...www.jamiiforums.com
CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi. Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania. Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa...www.jamiiforums.com
CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa. Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025. https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-kwa-mtaji-wa-ukakasi-wa-suala-la-bandari-kaeni-mguu-sawa-kungolewa.2113301/page-2#post-46992236 Suala...www.jamiiforums.com
Hojz yz msingi kabisa.Mfano wa kuigwa na marais wajao.
Sikilizeni hoja za wananchi.
Umemaliza mkuu.Hapa hakuna pongezi ila tunatakiwa kujiuliza tu tuna viongozi kwasasa au matapeli yapo hapo? Jibu hatuna viongozi Bali matapeli tu
Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , sisi ma Tomaso tupo tunasubiri kuona huo mkataba ili kujiridhisha madudu yote yameondolewa, kwa sababu kuna madudu mengine yalikuwa hayaondosheki unless kama ile IGA ilifanyiwa marekebisho kuondoa illegality.Rais Samia Suluhu Hassan
Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.
Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:
Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.
Ni vema mkataba ukawa tested mahakamani kama vigezo vyote vimezingatiwa.Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , sisi ma Tomaso tupo tunasubiri kuona huo mkataba ili kujiridhisha madudu yote yameondolewa, kwa sababu kuna madudu mengine yalikuwa hayaondosheki unless kama ile IGA ilifanyiwa marekebisho kuondoa illegality.
P.
Limeibuka kundi la watu wanaotaka kujipatia sifa katika masuala ambayo jamii yetu haiyafahamu vyema.View attachment 2789961
Rais Samia Suluhu Hassan
Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.
Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:
- Watanzania wengi tunapenda uwekezaji na nchi iweze kuvutia mitaji toka kote duniani
- Mchakato wa kwanza jinsi ya kumpata muwekezaji DP World uligubikwa na usiri
- Mchakato huo wa awali haukuzingatia maslahi ya wazi kabisa kitaifa
- Taratibu za manunuzi ya umma kwa kuzingatia uhusika na uhalali vyombo husika kwa mkataba na DPW haukuwepo wazi.
Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.
Ingawaje kuna wakati mama Samia alionyesha kukerwa na lawama nyingi, lakini cha msingi na cha kuigwa na viongozi wajao ni kushughulikia matatizo kwa mafanikio na maslahi ya nchi.
Sasa kina Mwabukusi na Slaa inabidi watafute soo jingine, waliyoonyesha yameshughulikiwa.
Kitu cha msingi sasa hivi ni kujitathmini: how did Ikulu get it so wrong mwanzoni?
Waliotoa na kuratibu ushauri hasi watawajibika vipi?
Otherwise kwa sasa:
Hongera mama Samia maana hongera hizo unastahili, kwa kondoa wingu lililokuwa limetanda.
Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga
Kaa kimya kama huna hoja za kujadili, nchi hii ni yetu sote! Haya tumia hiyo haki yako vibaya. Muda sio mrefu utaelewa wazoefu wa ku deal na polisi, kama viongozi wa vyama vya siasa wanaojua mipaka yao kwanini hizo lugha za mapinduzi wanawaachia wenyewe na kwanini Lissu hataki hayo majukwaa...www.jamiiforums.com
CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi. Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania. Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa...www.jamiiforums.com
CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa. Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025. https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-kwa-mtaji-wa-ukakasi-wa-suala-la-bandari-kaeni-mguu-sawa-kungolewa.2113301/page-2#post-46992236 Suala...www.jamiiforums.com
Waambie hao jamaa sasa wafanye maandamano ya kuunga mkono hayo "marekebisho" tarehe tisa novemba😁😁😁HONGERA MWABUKUSI,TEC NA WOTE WALIOBWEKEA WAOVU
Ni kweli kabisa, kuyaweka mambo peupe imesaidia sana kurekebisha kasoro.
Kwa hiyo kipengele cha muda indefinately hakijaondolewa?Unajikosha tu. Mkataba na vipengele vyake ni uleule na wala haujabadilishwa. Mliamua kuupinga kwa sababu zenu binafsi na mafisadi wa bandari. Sasa mmeona Serikali imewakazia eti mnajidai vipengele vimebadilishwa.
View attachment 2789961
Rais Samia Suluhu Hassan
Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.
Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:
- Watanzania wengi tunapenda uwekezaji na nchi iweze kuvutia mitaji toka kote duniani
- Mchakato wa kwanza jinsi ya kumpata muwekezaji DP World uligubikwa na usiri
- Mchakato huo wa awali haukuzingatia maslahi ya wazi kabisa kitaifa
- Taratibu za manunuzi ya umma kwa kuzingatia uhusika na uhalali vyombo husika kwa mkataba na DPW haukuwepo wazi.
Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.
Ingawaje kuna wakati mama Samia alionyesha kukerwa na lawama nyingi, lakini cha msingi na cha kuigwa na viongozi wajao ni kushughulikia matatizo kwa mafanikio na maslahi ya nchi.
Sasa kina Mwabukusi na Slaa inabidi watafute soo jingine, waliyoonyesha yameshughulikiwa.
Kitu cha msingi sasa hivi ni kujitathmini: how did Ikulu get it so wrong mwanzoni?
Waliotoa na kuratibu ushauri hasi watawajibika vipi?
Otherwise kwa sasa:
Hongera mama Samia maana hongera hizo unastahili, kwa kondoa wingu lililokuwa limetanda.
Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga
Kaa kimya kama huna hoja za kujadili, nchi hii ni yetu sote! Haya tumia hiyo haki yako vibaya. Muda sio mrefu utaelewa wazoefu wa ku deal na polisi, kama viongozi wa vyama vya siasa wanaojua mipaka yao kwanini hizo lugha za mapinduzi wanawaachia wenyewe na kwanini Lissu hataki hayo majukwaa...www.jamiiforums.com
CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi. Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania. Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa...www.jamiiforums.com
CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa. Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025. https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-kwa-mtaji-wa-ukakasi-wa-suala-la-bandari-kaeni-mguu-sawa-kungolewa.2113301/page-2#post-46992236 Suala...www.jamiiforums.com