Kurudi kwa Israel pale Palestina ni mpango wa Mungu

Kurudi kwa Israel pale Palestina ni mpango wa Mungu

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Najua wengi watabisha tu kutokana na ushabiki wao juu ya imani fulani
Ila mimi ninasema ninachokiamini
According to the bible
Kurudi kwa israel ni mpango wa Mungu
Na hakuna wakuzuia sio mrusi,mchina,mkorea, au nani mpango unabii ukamilike

Kumbukumbu la Torati 30:3-5

[3]ndipo BWANA, Mungu wako, atakapougeuza utumwa wako, naye atakuhurumia, tena atarejea na kukukusanya kutoka mataifa yote, huko alikokutawanyia BWANA, Mungu wako.

[4]Watu wako waliotawanyika wakiwako katika ncha za mbingu za mwisho, kutoka huko atakukusanya BWANA, Mungu wako; kutoka huko atakutwaa;

[5]atakuleta BWANA, Mungu wako, uingie nchi waliyomiliki baba zako, nawe utaimiliki; naye atakutendea mema, na kukufanya uwe watu wengi kuliko baba zako.
 
Hahah watanzania hasa nikikumbuka Mwl Nyerere eti aliwafukuza Wayahudi na kuwakumbatia Iran yaani alifanya mambo ya ovyo sana kiasi kwamba nchi yetu ilijikita kupambania mambo ya wengine tukisahau ya kwetu
 
Hahah watanzania hasa nikikumbuka Mwl Nyerere eti aliwafukuza Wayahudi na kuwakumbatia Iran yaani alifanya mambo ya ovyo sana kiasi kwamba nchi yetu ilijikita kupambania mambo ya wengine tukisahau ya kwetu
Tukisahau ya kwetu maana yake wazungu wangechelewa kuondoka kidogo tuliwawahisha sana?
 
Hahah watanzania hasa nikikumbuka Mwl Nyerere eti aliwafukuza Wayahudi na kuwakumbatia Iran yaani alifanya mambo ya ovyo sana kiasi kwamba nchi yetu ilijikita kupambania mambo ya wengine tukisahau ya kwetu
Kuwa na wayahudi katika nchi yenu ni baraka kubwa japokuwa wanakuwa na mambo mengi ya kihuni ila ni watu wazuri kwa uchumi wa nchi
 
Umetolea reference kwenye bible ambacho ni kitabu unachoamini wewe, Kesho wahindu kupitia kitabu chao wanaweza kusema Pakistan ni mali yao.

Siku waAfrica wakiwa na kitabu chao wanaweza kusema Uingereza ni mali yao Kwa mujibu wa African holy book yao.
Kwahiyo kesho akiibuka Mchina akasema Tanzania ni mali ya China kwa mujibu wa Chinese holy book tuseme hewala.
 
Story za kusadikika na za kutunga kwamba miaka 3000 iliyopita, toka nisikie story za Samson kaua simba, sijui ni porini? hivi pale middle east na lile jangwa simba anaweza kuishi?
mambo mengine tuwe tunatafakari kwa akili za kawaida tu...
 
Kuwa na wayahudi katika nchi yenu ni baraka kubwa japokuwa wanakuwa na mambo mengi ya kihuni ila ni watu wazuri kwa uchumi wa nchi

Kwahiyo China pamejengwa na myahudi.
Urusi pamejengwa na myahudi.
South Korea pamejengwa na myahudi.
America pamejengwa na myahudi.
London na UK pamejengwa na myahudi.
UAE nayo kaijenga myahudi.
Singapore, Malaysia, Australia nk zote kazijenga myahudi.

Kila kiumbe kimebalikiwa na Mwenyezi Mungu na kila Taifa lina baraka za Mwenyezi Mungu, najisi na laana tunazitia wenyewe.
 
Mimi ni mkristu but siafiki ni sikubaliani na jinsi unavyotafsiri biblia kama kitabu cha kihistoria zaidi kuliko tafsiri ya kiroho.
Yesu katika agano jipya aliishatolea ufafanuzi kwa maneno kwa vitendo - Yesu aliwaambia hao Wayahudi kaja kukamilisha torati - Biblia inaongelea kuwarudisha watu wanadamu wote kutoka utumwa wa dhambi - kukusanywa kutoka uharibifu - Yesu mwenyewe aliponyesha na kudeal na watu wote hata wale waliokua sio Wayahudi - Wasamaria n.k.
Yesu wakati anaondoka Duniani aliwaamuru mitume wake "enendeni ulimwenguni kote......." hakusema enendeni Uyahudi au Bethlehemu n.k.Mitume wake walitapakaa dunia nzims - ndo maana hata kufa wamefia nje ya Uyahudi kabisa - wakina Petro wamemalizia maisha yao Italy huko - n.k.
Kwa hiyo msipotoshe watu kwa tafsiri za ajabu ajabu..msisome biblia kama kitabu cha Abunuwasi Au Chinoko na Simba - It is more spritual than physical.
BIblia haiongelei kuhusu hao watu waliojichanga damu na Wazungu (Wapoland, Ukraine, Ujerumani, Urusi n.k).Inaongelea kurudishwa from utumwa wa dhambi.
 
Dini zinapumbaza sana watu. Mtu anakaa kuwaza Israel, Israel Israel siku zote za maisha yake badala ya kuwaza kwao Namtumbo huko.

Watu wazima na akili zao kila siku kuiombea Israel, vitu vya hovyo kabisa, mtu unaombeaje taifa lingine?

Hizi dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
 
Umetolea reference kwenye bible ambacho ni kitabu unachoamini wewe, Kesho wahindu kupitia kitabu chao wanaweza kusema Pakistan ni mali yao.

Siku waAfrica wakiwa na kitabu chao wanaweza kusema Uingereza ni mali Kwa mujibu wa African holy book yao.
Kwahiyo kesho akiibuka Mchina akasema Tanzania ni mali ya China kwa mujibu wa Chinese holy book tuseme

Umetolea reference kwenye bible ambacho ni kitabu unachoamini wewe, Kesho wahindu kupitia kitabu chao wanaweza kusema Pakistan ni mali yao.

Siku waAfrica wakiwa na kitabu chao wanaweza kusema Uingereza ni mali yao Kwa mujibu wa African holy book yao.
Kwahiyo kesho akiibuka Mchina akasema Tanzania ni mali ya China kwa mujibu wa Chinese holy book tuseme hewala.
Tofauti itakuwa kwenye action tu kama aliyesema eneo ilo ni lenu ni Mungu hakuna yeyote awezaye kuwanyanganya na hata kama watalichukuwa watu wengine ipo siku litarudi tu
Kama sio Mungu utaenda kusema mwishowe wanakulamba miti tu
 
Kwahiyo China pamejengwa na myahudi.
Urusi pamejengwa na myahudi.
South Korea pamejengwa na myahudi.
America pamejengwa na myahudi.
London na UK pamejengwa na myahudi.
UAE nayo kaijenga myahudi.
Singapore, Malaysia, Australia nk zote kazijenga myahudi.

Kila kiumbe kimebalikiwa na Mwenyezi Mungu na kila Taifa lina baraka za Mwenyezi Mungu, najisi na laana tunazitia wenyewe.
Ila umesau kusema wanamchango mkubwa katika ugunduzi wa technology ya ulimwengu pia wanamchango mkubwa katika uchumi wa ulimwengu 😀😃😝 kijana acha chuki
 
Kuwa na wayahudi katika nchi yenu ni baraka kubwa japokuwa wanakuwa na mambo mengi ya kihuni ila ni watu wazuri kwa uchumi wa nchi
Wewe pia ni baraka kubwa - achana na inferiority complex ndugu..Una thamani kubwa kuliko hizo narrative unazoziongea humu.
Kwani hao Wayahudi ndo wanaongoza kwa Uchumi mkubwa Duniani..???China, Korea,Ujerumani, Spain, Italy, Japan..hao ni Wayahudi.??
Waafrika hizi dini zimetutia uchizi kabisa
 
Ila umesau kusema wanamchango mkubwa katika ugunduzi wa technology ya ulimwengu pia wanamchango mkubwa katika uchumi wa ulimwengu 😀😃😝 kijana acha chuki

Wapo watu wengi au mataifa mengi yenye mchango katika gunduzi nyingi duniani.

Hawawezi wakawa na uspecial huo tunaotaka kuwapa, siajabu hata Africa isingetawaliwa na wakoloni ingeweza pia kuwa na mchango katika gunduzi nyingi.
 
Mimi ni mkristu but siafiki ni sikubaliani na jinsi unavyotafsiri biblia kama kitabu cha kihistoria zaidi kuliko tafsiri ya kiroho.
Yesu katika agano jipya aliishatolea ufafanuzi kwa maneno kwa vitendo - Yesu aliwaambia hao Wayahudi kaja kukamilisha torati - Biblia inaongelea kuwarudisha watu wanadamu wote kutoka utumwa wa dhambi - kukusanywa kutoka uharibifu - Yesu mwenyewe aliponyesha na kudeal na watu wote hata wale waliokua sio Wayahudi - Wasamaria n.k.
Yesu wakati anaondoka Duniani aliwaamuru mitume wake "enendeni ulimwenguni kote......." hakusema enendeni Uyahudi au Bethlehemu n.k.Mitume wake walitapakaa dunia nzims - ndo maana hata kufa wamefia nje ya Uyahudi kabisa - wakina Petro wamemalizia maisha yao Italy huko - n.k.
Kwa hiyo msipotoshe watu kwa tafsiri za ajabu ajabu..msisome biblia kama kitabu cha Abunuwasi Au Chinoko na Simba - It is more spritual than physical.
BIblia haiongelei kuhusu hao watu waliojichanga damu na Wazungu (Wapoland, Ukraine, Ujerumani, Urusi n.k).Inaongelea kurudishwa from utumwa wa dhambi.
Huna akili wewe mimi naongelea habari za kurudi kwa israel katika nchi ya palestina kutokana na unabii wa vitabu
Wewe unaniletea habari za injili ya yesu
Zinahusiana na nini na Mada hii kijana acha kujifanya una akili saana ya kujua maandiko
 
Wewe pia ni baraka kubwa - achana na inferiority complex ndugu..Una thamani kubwa kuliko hizo narrative unazoziongea humu.
Kwani hao Wayahudi ndo wanaongoza kwa Uchumi mkubwa Duniani..???China, Korea,Ujerumani, Spain, Italy, Japan..hao ni Wayahudi.??
Waafrika hizi dini zimetutia uchizi kabisa
Kasome kijana mdogo kabla ya ku comments chochote umu
Hivi world Bank ina milikiwa na Akina nani
Hawa wote Akina China na wengine wananufaika na world systems ambayo iliwekwa na hao hao Wayahudi kijana kuwa na akili basi
 
Ndio maana tukiwaambia dini na imani ni ugonjwa wa akili mnaanza kununa.
 
Najua wengi watabisha tu kutokana na ushabiki wao juu ya imani fulani
Ila mimi ninasema ninachokiamini
According to the bible
Kurudi kwa israel ni mpango wa Mungu
Na hakuna wakuzuia sio mrusi,mchina,mkorea, au nani mpango unabii ukamilike

Kumbukumbu la Torati 30:3-5
[3]ndipo BWANA, Mungu wako, atakapougeuza utumwa wako, naye atakuhurumia, tena atarejea na kukukusanya kutoka mataifa yote, huko alikokutawanyia BWANA, Mungu wako.
[4]Watu wako waliotawanyika wakiwako katika ncha za mbingu za mwisho, kutoka huko atakukusanya BWANA, Mungu wako; kutoka huko atakutwaa;
[5]atakuleta BWANA, Mungu wako, uingie nchi waliyomiliki baba zako, nawe utaimiliki; naye atakutendea mema, na kukufanya uwe watu wengi kuliko baba zako.
Sasa ndugu!kama israel wametawanyika katika mataifa mbali mbali Duniani!hao wanaopigana na wenye nguvu ni kina nani!!?

Kama israel walimkataa masihi na Mungu akaruhusu wapigwe Hadi kubomolewa Kwa hekalu la Suleiman na wakatawanyika Duniani na kuwa watumwa katika mataifa ya ugenini bas israel ni jamii ya watu weusi ambao ndio wanahistoria ya kuwa watumwa Duniani kote!!

Hao wazungu waliopo hapo utaaminije ni waisrael hao!!!?coz nguvu ya kupigana wametoa wapi !?kama sio Taifa feki hilo na waisrael feki!!?
 
Wapo watu wengi au mataifa mengi yenye mchango katika gunduzi nyingi duniani.

Hawawezi wakawa na uspecial huo tunaotaka kuwapa, siajabu hata Africa isingetawaliwa na wakoloni ingeweza pia kuwa na mchango katika gunduzi nyingi.
Zaidi
Huna akili wewe mimi naongelea habari za kurudi kwa israel katika nchi ya palestina kutokana na unabii wa vitabu
Wewe unaniletea habari za injili ya yesu
Zinahusiana na nini na Mada hii kijana acha kujifanya una akili saana ya kujua maandiko
Wewe KIAZI MBATATA kweli...hivi vitabu vya kinabii si biblia au wewe unavitabu vya kinabii vya babu zako..?
Utaongelea vitabu vya kinabii ambalo story za wayahudi zaidi ya Agano la kale??
 
Wapo watu wengi au mataifa mengi yenye mchango katika gunduzi nyingi duniani.

Hawawezi wakawa na uspecial huo tunaotaka kuwapa, siajabu hata Africa isingetawaliwa na wakoloni ingeweza pia kuwa na mchango katika gunduzi nyingi.
China ,USA,Canada,France zilitawaliwa na wakoloni mbona Zina mchango katika technology ya ulimwengu
Huna hoja kijana
 
Back
Top Bottom