Kalamu yako huwa inanivutia sana mshana jr uandishi unaozingatia maadili na wenye tungo zenye ujazo mzito na uangalifu mkubwa kama mashairi ya ngosha the donJK kaibuka kidedea tena.. Sasa ni mwendo wa kazi na bata
Simon group inajulikana ya Nani, na jamaa na mkewe watatolewa gerezani soon.Mi ni mpandaji mzuri sana wa daladala hasa ruti za mbagala na Gongo la mboto na mahali napofanyia kazi ni rahisi sana kuona magari yanayopita barabara ya bagamoyo, ni muda mrefu sana sijaona magari ya UDA hivyo ukiniambia umeyaona sasa ni kweli yatakuwa yamerejea, lakini mtu akiniambia yaoikuwepo yanaendelea na kazi hilo nakataa nayajua magariya UDA kwa muda mrefu na rangi zake sijayaona barabarani for 2-3 years
Kwani magari mapya huwa yanatoka wapi? Mbona swali lako hakina mantiki? Kwa hiyo Kama hawakuweka magari mapya wakati wa JPM, wakiweka Sasa Kuna kosa lolote linakuwa limetendeka?Yalikuwepo zamani ila hayakua Mapya, Haya mapya yametokea wapi?
Na tusisahau, lengo la Mwendokasi halikuwa kuua biashara ya daladala bali kuboresha usafiri Dar es salaam ili watu wawahi waendako! Lakini mara kwa mara yametokea malalamiko kwamba kuna uhaba mkubwa wa mabasi ya mwendokasi, na ujinga zaidi, unakuta mahali yamepaki wakati watu wamejazana vituoni!Mwendokasi ina pata faida sasa kwasababu ya "marufuku" ya magari ya kawaida kwenda Kariakoo to Mbezi ila Uda Ikianzisha ruti za K.koo to Mbezi Mwendokasi wameumia.
Kazi, Bata na uhuruJK kaibuka kidedea tena.. Sasa ni mwendo wa kazi na bata
Baba kaacha Familia mikononi mwa Mama, tunaamini Mama Atatufikisha Kanaani
MagariMkuu UDA ni nini? Labda kwanza tuanzie hapo.... Ili twende sambamba...
Mkuu sio kwamba yanaegeshwa kwa wemaNa tusisahau, lengo la Mwendokasi halikuwa kuua biashara ya daladala bali kuboresha usafiri Dar es salaam ili watu wawahi waendako! Lakini mara kwa mara yametokea malalamiko kwamba kuna uhaba mkubwa wa mabasi ya mwendokasi, na ujinga zaidi, unakuta mahali yamepaki wakati watu wamejazana vituoni!
Dar ni Jiji walikua hawana sababu ya kuzuia waliache soko huria ubora wa kila eneo ungeweka nafuu na kupunguza changamoto za kugombania usafiri na kutanua wigo wa ajira zisizo rasmiMwendokasi ina pata faida sasa kwasababu ya "marufuku" ya magari ya kawaida kwenda Kariakoo to Mbezi ila Uda Ikianzisha ruti za K.koo to Mbezi Mwendokasi wameumia.
Mwendokasi inamilikiwa na UDA,ndiyo maana kampuni hiyo ya mwendokasi inaitwa UDART.Mwendokasi ina pata faida sasa kwasababu ya "marufuku" ya magari ya kawaida kwenda Kariakoo to Mbezi ila Uda Ikianzisha ruti za K.koo to Mbezi Mwendokasi wameumia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1534][emoji1752][emoji1548][emoji1548]Kalamu yako huwa inanivutia sana mshana jr uandishi unaozingatia maadili na wenye tungo zenye ujazo mzito na uangalifu mkubwa kama mashairi ya ngosha the don
Afu nauli jelo tu, na 150 inabakiHaya mabasi/daladala za UDA yalianza onekana kwa wingi sana kipindi cha uongozi wa Awamu ya 4 ila baada ya kuingia awamu ya 5 hizi daladala zilipotea zote moja baada ya nyingine na mwisho hatukuziona tena barabarani.
Tangu msiba uishe wa Aliyekuwa Rais awamu ya 5 Rais Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani, nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI, MBEZI-TEMEKE nk
Swali langu ni la mshangao, imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? Yalikua wapi? Boss wake ni nani? Kwanini alikuwa hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa Magufuli na kwanini kayarudisha sasa hivi?
"Watanzania sisi sio wajinga, Tunaona"
Nimalizie kwa kusema "Anaye stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu, Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa, WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka, halafu ndio kwanza April 2..
Mutoto ya mujiniJK kaibuka kidedea tena.. Sasa ni mwendo wa kazi na bata
Na Mimi Jana nilikuwa pale posta mpya nimeziona UDA kama NNE zimefufuliwa nikashangaa "kwanini sasa?!"Haya mabasi/daladala za UDA yalianza onekana kwa wingi sana kipindi cha uongozi wa Awamu ya 4 ila baada ya kuingia awamu ya 5 hizi daladala zilipotea zote moja baada ya nyingine na mwisho hatukuziona tena barabarani.
Tangu msiba uishe wa Aliyekuwa Rais awamu ya 5 Rais Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani, nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI, MBEZI-TEMEKE nk
Swali langu ni la mshangao, imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? Yalikua wapi? Boss wake ni nani? Kwanini alikuwa hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa Magufuli na kwanini kayarudisha sasa hivi?
"Watanzania sisi sio wajinga, Tunaona"
Nimalizie kwa kusema "Anaye stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu, Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa, WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka, halafu ndio kwanza April 2..