Shida "alternatives' ,wale wanaosoma shule za serikali wengi ni watoto wa sisi walala hoi,ni wepesi kuiga kujaribu ya kusikia,rahisi kushawishika kwa vizawadi,nakumbuka enzi hizo zangu nikiwa la pili nilianza kusikia nakutaka kujaribu shida ikawa hakuna aliyekuwa haswa namna ya kuula mhogo ,na enzi hizo ilikuwa kosa kubwa kumtamkia neno jinsi tofauti ungeuwawa,na ndiyo maana tulimaliza la Saba bila msichina yoyote kupata mimba,hebu fkiria Leo hii ni vijana wangapi wa kiume wanalawitiana.Je tungewajua mapema wenye tabia hiyo tukawaondoa mapema tungeepusha wangapi na kuharibikiwa huko,sasa nashauri serikali ijenge shule za boording za mzingi na sekondari Moja Moja Kila wilaya/halmashauri ambako itakujwa inawasomeshea wanafunzi walipata mimba kujifungua,itakujwa ni rahisi kuweka wodi ya kuwatunza hao watoto wakati mama zao wako darasani,ni rahisi .mama zao kuwanyonyesha kwa wakati,ni rahisi wao kwa wao kubadilishana mawazo ya kikubwa,na rahisi kupewa nasaa za kujiepusha na ngono za utotoni.TUKUmbuke wenye fedha wanasoma sent Fulani na english medium fulani.hadi huruma