Pre GE2025 Kuruhusu maandano Rais Samia amecheza zaidi ya pele

Pre GE2025 Kuruhusu maandano Rais Samia amecheza zaidi ya pele

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Yaani habari inayo trendi ni Rais KURUHUSU Maandamano.

Imekua ndipo habari kubwa zaidi hâta ya hoja za Chadema.

Kiukweli Mpaka Sasa ni kama hakuna MAANDANO yaliyo tokea.
Kwa jambo hili Rais ameshauriwa vizuri sana.

Kama Chadema wangezuiwa kufanya maandamano na kulazimika kupambana na polisi, ingekua habari yenye kuvutia wengi kutaka kujua hoja za Chadema.

Hapa Kuna viongozi wajifunze. Hauwezi kuwa na suluhisho moja kwa Kila changamoto.

Mambo ya kupeleka wanajeshi barabarani yamepitwa na wakati.

Watu wameomba kuandana kwa amani unawazuwia kwamba hautaki kusikilizwa mawazo mbadala!?

Muhimu Sasa Rais achakate hoja za Chadema na kuzishigulikia ili kuonesha kuwa unaweza kuandamana kwa amani na bado utasikika tu.

Hongera sana mama .
 
Yaani habari inayo trendi ni Rais KURUHUSU Maandamano.

Imekua ndipo habari kubwa zaidi hâta ya hoja za Chadema.

Kiukweli Mpaka Sasa ni kama hakuna MAANDANO yaliyo tokea.
Kwa jambo hili Rais ameshauriwa vizuri sana.

Kama Chadema wangezuiwa kufanya maandamano na kulazimika kupambana na polisi, ingekua habari yenye kuvutia wengi kutaka kujua hoja za Chadema.

Hapa Kuna viongozi wajifunze. Hauwezi kuwa na suluhisho moja kwa Kila changamoto.

Mambo ya kupeleka wanajeshi barabarani yamepitwa na wakati.

Watu wameomba kuandana kwa amani unawazuwia kwamba hautaki kusikilizwa mawazo mbadala!?

Muhimu Sasa Rais achakate hoja za Chadema na kuzishigulikia ili kuonesha kuwa unaweza kuandamana kwa amani na bado utasikika tu.

Hongera sana mama .
Visokolokwinyo leo mnalo hilo mnayaota maandamano tu. Pambaf
 
Ni kweli ameruhusu kuzurula,lkn inaongeza au kupunguza nn kwenye ugumu wa maisha ya mtanzania?
 
Back
Top Bottom