Watu wengi wanaotaka bunge live nnauhakika hawajui wanachokihitaji, mfano rahisi muulize ,unataka maendeleo jimboni kwako au kuona wabunge wakiwa dodoma?
Nazaidi wengi wao hushinda kuangalia bunge tuu bila kufanya shughuli zozote za maendeleo halafu mwishoni wanasema nchi ni masikini kume chanzo cha umaskini ni wao NAMBA MOJA full stop!!!!!!!