Kusafiri gari moja na watu wa jamii ya kifugaji ni kero

Kusafiri gari moja na watu wa jamii ya kifugaji ni kero

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.

Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.

ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI. KUHUSU KUPANDA NDEGE INAKUA NGUMU KUNA MIKOA HAMNA SAFARI ZA NDEGE KAMA KATAVI.
 
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo,Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta. Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro,Simiyu,Ruvuma,Katavi,Shinyanga,Manyara utakutana na hii kero. ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU.
Usafi au uchafu, ni tabia ya mtu binafsi. Haiwakilishi kabila au Jamii fulani
 
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo,Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta. Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro,Simiyu,Ruvuma,Katavi,Shinyanga,Manyara utakutana na hii kero. ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU.
Bado hapo hajajamba.
 
Ukimuona mmasai amechuchumaa sokoni sehemu yenye uwazi huku amelitandaza shuka lake akijifanya kuzungusha zungusha mdomo kama anakula ugoro usikatize hapo sehemu maana wanakuwa wanaachia vitu vigumu
 
Tatizo ni asili yao...Ila kuna baadhi wamelimika na kustaarabika hata wanawake wa kutoka hayo maeneo baadhi ni wasafi na wazuri pia!
 
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo,Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta. Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro,Simiyu,Ruvuma,Katavi,Shinyanga,Manyara utakutana na hii kero. ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU.
Mablanket mbona cha mtoto? Watafungua chama choma na kuanza humohumo ndani na kuanza kutafuta miwa.
Kuna wengine hukojoa ndani ya chupa wakati gari linaenda
 
Kero ipo usafiri ukae siti na mam mwenye mtoto af amebeba chupa ya uji na mtoto msumbufu utaelewa
 
Back
Top Bottom