Kusafiri gari moja na watu wa jamii ya kifugaji ni kero

Kusafiri gari moja na watu wa jamii ya kifugaji ni kero

Usafi au uchafu, ni tabia ya mtu binafsi. Haiwakilishi kabila au Jamii fulani
Chunguza vizuri tena. Inawakilishaga jamii ya watu fulani.

Mfugaji anachukulia kuwa na harufu moja na ng'ombe wake sio issue.

Ila mwingine anaweza ona ni uchafu.

Kimsingi huyo alovalia nguo za kungaa, akaoga na mafuta akapaka akapendeza akajipulizia na pafyumu. Akienda kwa mfugaji atakuwa ni 'mchafu'

Mchafu in a sense kwamba hatakiwi pale, anaweza kusababisha vurugu na hata kifo. Anawachanganya ng'ombe wanajiuliza tumevamiwa na nini.
 
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.

Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.

ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI.
Mkuu panda ndege hutokutana na hizo kero..😀😀😃😃🤓🤓🤓😊😊

Natania tu mkuu....
 
Wenyewe wanajiita matajiri lakini wanavyotaka hata wale Wakinga wenye utajiri wa masharti wana nafuu.
 
Haha si ameshasema kuwa ana gari lakini haliendelei kusafiri nalo umbali mrefu?😂😂
.....shida tuliyonayo waafrika ni uvivu wa kusoma, hapa wadau wanakoment kwa tittle tu, mwafrika mfiche kitu kwenye maandishi tu umemaliza......
 
Mtu mwenye hela na mwenye akili timamu hawezi kuishi maisha duni yaani kula yake tabu,sehemu ya kulala imejaa kila aina ya wadudu,mchafu wa mwili na mavazi,mtu kama huyo kwangu ni lofa tu.
Wewe hao unaokutana nao huko ni wale wachungaji wa mshahara, hujukutana na matajiri wenyewe!!
 
Taratibu taratibu kutembea na kusafiri wanajifunza na wanabadilika kidogo kidogo wanastaarabika, tuwavumilie
 
Kuna siku nimekata tiketi ya basi fulani luxury from Arusha to Dar, wakati tunasubiria muda wa safari ufike wakatokea mang'ati kikundi kama watu 10 - 15, wala hawakujiuliza wakaingia kwenye basi na kukaa siti za nyuma karibu zote zilizokuwa wazi.... ghafla hali ya hewa ilibadilika ikawa mtafutano. Lile basi lilikuwa hadi na watasha. Bahati nzuri mang'ati wakashukia njiapanda ya Handeni. Yule mhudumu tulipofika hotelini akapulizia basi Airfresh. Ile harufu ya masai ni kama perfume ukilinganisha na ya Mang'ati. Wasukuma nao wana mavazi yanafanana na mang'ati ila wao wasafi angalau.
 
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.

Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.

ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI. KUHUSU KUPANDA NDEGE INAKUA NGUMU KUNA MIKOA HAMNA SAFARI ZA NDEGE KAMA KATAVI.
Nilishawahi kupanda basi moja na bata
 
Kaka, kusafiri na watu wa Hali ya chini kwenye gari moja unapenda mwenyewe. Mfano Kama unakwenda Mombasa au Tanga ukitokea Dar Kuna like bus la siti 35. Kila MTU kitu chake. Hakuna sijui 2×2 au 2×3 Ni mwendo wa 1x1. Hutakutana na watu wajinga kwenye haya mabasi. Dodoma pia lipo la hivi.

Kama Ni kwanza ukitokea Dar Kuna bus la 65000 hili wajinga hawapandi. Ukitokea Dar kwenda Dodoma ukapanda Basi la 17,000 lazima ukutane na kunguni, chawa, papasi, midomo kunuka n.k.

Kama unakwenda Arusha chukua Tahmed ya Nairobi kila mtu siti yake, wajinga hawapandi hii Basi hata wakipanda utakua kwenye siti yako binafsi na siti ya jirani iko mbali. Yaani Basi Ni Kama sitting room.
 
Way back Kuna mwana alipanda gari na humo kulikuwa na ndugu zetu wafugaji jamii ya nilote[emoji41] wanaokaa sehemu za Savana, siti aliyokuwa amekaa huyu bwana ilikuwa ni ya upande wa dirishani na siti ya mbele yake alikuwa amekaa huyu ndugu mfugaji na yenyewe ilikuwa ya dirishani.

Sasa huyu jamaa mfugaji ni Mla ugoro mzuri sana. Sasa huyu bwana akafungua dirisha Ili ateme mate nje ,na alipotema mate Yale hayakuanguka chini badala yake yalipeperushwa na upepo na yakampiga usoni jamaa wa siti ya nyuma , maana gari ilikuwa kwenye mwendo.

Kwa kifupi baada ya hapo Hali ilivurigika ndani ya gari.
 
Kuna siku nilsafiri kwa basi kutoka Dar kwenda Mang'ula. Tulivofika sehemu wanapaita Ruaha Mbuyuni ( not sure)
Wakapanda Wamasai wanaume watatu.

Waiwili wakapata siti ya mwisho kabisa na mmoja akapata siti ya mbele kama ya 3 kutoka kwa dereva .
Bwana wee stori kama kawa wale wawili siti ya mwisho na wa mbele kwa dereva. Basi lote tulibaki kimya ilikua yerooo.... full kimasai

Walishuka maporini huko tukapumua.
 
Kaka, kusafiri na watu wa Hali ya chini kwenye gari moja unapenda mwenyewe. Mfano Kama unakwenda Mombasa au Tanga ukitokea Dar Kuna like bus la siti 35. Kila MTU kitu chake. Hakuna sijui 2×2 au 2×3 Ni mwendo wa 1x1. Hutakutana na watu wajinga kwenye haya mabasi. Dodoma pia lipo la hivi.
Kama Ni kwanza ukitokea Dar Kuna bus la 65000 hili wajinga hawapandi. Ukitokea Dar kwenda Dodoma ukapanda Basi la 17,000 lazima ukutane na kunguni, chawa, papasi, midomo kunuka n.k.
Kama unakwenda Arusha chukua Tahmed ya Nairobi kila mtu siti yake, wajinga hawapandi hii Basi hata wakipanda utakua kwenye siti yako binafsi na siti ya jirani iko mbali. Yaani Basi Ni Kama sitting room.
maskini mkipata hela kidogo kweli matako yanalia mbwata. Yaani unaita binadamu wenzako hayo majinga, na bado nyumbani kwenu mafukara tu. Nyie ni zaidi ya mangedere
 
Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.

Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.

ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI. KUHUSU KUPANDA NDEGE INAKUA NGUMU KUNA MIKOA HAMNA SAFARI ZA NDEGE KAMA KATAVI.
Hao wotehuwa hawapandi luxury maana luxury haisimami porini. Mara nyingi hao hupandia na kushukia porini.

Kuna siku nilipanda gari na jamii ya hao watu ila ni hatari sana kwa uchafu si wanawake wala wanaume.

Unapanda gari halafu jamaa anakuja anakugusisha kikwapa puani
 
Back
Top Bottom