scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Ni ngumu sanaLuxury wanapanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu sanaLuxury wanapanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimuona mmasai amechuchumaa sokoni sehemu yenye uwazi huku amelitandaza shuka lake akijifanya kuzungusha zungusha mdomo kama anakula ugoro usikatize hapo sehemu maana wanakuwa wanaachia vitu vigumu
Bahati nzuri huku kwetu ukanda wa pwani siku hizi wamejaa tele hivyo huwezi kunidanganya lolote kuhusu hao watu,kuna siku nilikuwa naelekea kijijini wilaya ya Kisarawe mida ya 12.30 jioni kuigiza tayari kimeanza kuingia porini nikakuta mang'ati yupo na familia yake wameamua walale pale kuuliza kwa wanakijiji wanasema hao ndivyo walivyo na hapo yupo njiani anaelekea Rufiji.Wewe hao unaokutana nao huko ni wale wachungaji wa mshahara, hujukutana na matajiri wenyewe!!
Huyo jamaa anakisirani sana. Anatakiwa atutake radhi haraka. Hatulipagi nauli kama yeye? Tunatumia pesa yetu bana. Amekunywa supu na ameshasahau ni kutoka kwa nyama ya ng'ombe, mbuzi n.k.Haya wafugaji mmefikiwa
Eesipa! Inadai yuko na gari binausi halafu anakuja kupanda na hili tulilopanda sisi.Shieeee, eroo sisi ajalasimisha wewe apande hizi magari setu. Wewe anataka sisi atembee tu kwa muguu? Shieeee, olarbumenye.
Kumbe masikini mnatuona wajinga?Kaka, kusafiri na watu wa Hali ya chini kwenye gari moja unapenda mwenyewe. Mfano Kama unakwenda Mombasa au Tanga ukitokea Dar Kuna like bus la siti 35. Kila MTU kitu chake. Hakuna sijui 2×2 au 2×3 Ni mwendo wa 1x1. Hutakutana na watu wajinga kwenye haya mabasi. Dodoma pia lipo la hivi.
Kama Ni kwanza ukitokea Dar Kuna bus la 65000 hili wajinga hawapandi. Ukitokea Dar kwenda Dodoma ukapanda Basi la 17,000 lazima ukutane na kunguni, chawa, papasi, midomo kunuka n.k.
Kama unakwenda Arusha chukua Tahmed ya Nairobi kila mtu siti yake, wajinga hawapandi hii Basi hata wakipanda utakua kwenye siti yako binafsi na siti ya jirani iko mbali. Yaani Basi Ni Kama sitting room.
Olmoruo! Changamoto tunazopitia huku kwetu kwa kweli hakuna Mswahili(Olmeeki) anazimudu.Kaka, kusafiri na watu wa Hali ya chini kwenye gari moja unapenda mwenyewe. Mfano Kama unakwenda Mombasa au Tanga ukitokea Dar Kuna like bus la siti 35. Kila MTU kitu chake. Hakuna sijui 2×2 au 2×3 Ni mwendo wa 1x1. Hutakutana na watu wajinga kwenye haya mabasi. Dodoma pia lipo la hivi.
Kama Ni kwanza ukitokea Dar Kuna bus la 65000 hili wajinga hawapandi. Ukitokea Dar kwenda Dodoma ukapanda Basi la 17,000 lazima ukutane na kunguni, chawa, papasi, midomo kunuka n.k.
Kama unakwenda Arusha chukua Tahmed ya Nairobi kila mtu siti yake, wajinga hawapandi hii Basi hata wakipanda utakua kwenye siti yako binafsi na siti ya jirani iko mbali. Yaani Basi Ni Kama sitting room.
Hao unao waita wajinga Ni watu gani?Kaka, kusafiri na watu wa Hali ya chini kwenye gari moja unapenda mwenyewe. Mfano Kama unakwenda Mombasa au Tanga ukitokea Dar Kuna like bus la siti 35. Kila MTU kitu chake. Hakuna sijui 2×2 au 2×3 Ni mwendo wa 1x1. Hutakutana na watu wajinga kwenye haya mabasi. Dodoma pia lipo la hivi.
Kama Ni kwanza ukitokea Dar Kuna bus la 65000 hili wajinga hawapandi. Ukitokea Dar kwenda Dodoma ukapanda Basi la 17,000 lazima ukutane na kunguni, chawa, papasi, midomo kunuka n.k.
Kama unakwenda Arusha chukua Tahmed ya Nairobi kila mtu siti yake, wajinga hawapandi hii Basi hata wakipanda utakua kwenye siti yako binafsi na siti ya jirani iko mbali. Yaani Basi Ni Kama sitting room.
Kha! Oiyeyai. Sasa naona mmetuchoka.Mkuu umenikumbusha mbali sana yaani wamassai wachafu aisee wakifatwa na wamang'ati na yale mafuta yao bora hata wasukumu na mashuka yao meusi unakuta halifuliwi hilo yaani km waganga na wamang'ati. Wamasai Wengine unakuta hata chupi havai wananuka harufu ya ng'ombeng'ombe.
Maskini sio wajinga. Wajinga Ni hao wanaojitoa ufahamu na kusafiri bila kujifanyia usafi.Kumbe masikini mnatuona wajinga?
Bwana umenikumbisha mbali sana . Siku moja nilikuwa naenda tabora. Tumefika dumila akaingia mmasai mmoja bhana. Jamaa alikuwa na radio kama mbili kazivaa shingoni akaanza kula ngoma. Dah yaani nilikasirika hadi nikaanza kucheka. Aisee jamaa alishukia dodomHapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.
Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.
ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI. KUHUSU KUPANDA NDEGE INAKUA NGUMU KUNA MIKOA HAMNA SAFARI ZA NDEGE KAMA KATAVI.
Oĺmoruo subai deiOlmoruo! Changamoto tunazopitia huku kwetu kwa kweli hakuna Mswahili(Olmeeki) anazimudu.
Yeebha doi, Arabioto?Oĺmoruo subai dei
Sidai, kirabioo?Yeebha doi, Arabioto?
Yani hiyo meeki inatukana sisi kwamba ni watu chafu... hiyo meeki ni lakaibara kabisaShieeee, eroo sisi ajalasimisha wewe apande hizi magari setu. Wewe anataka sisi atembee tu kwa muguu? Shieeee, olarbumenye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shieeee, eroo sisi ajalasimisha wewe apande hizi magari setu. Wewe anataka sisi atembee tu kwa muguu? Shieeee, olarbumenye.