Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Chunguza vizuri tena. Inawakilishaga jamii ya watu fulani.Usafi au uchafu, ni tabia ya mtu binafsi. Haiwakilishi kabila au Jamii fulani
Wale watu wana hela kama upupu!Epuka kupanda magari yaliyochoka,huwezi kuwakuta kwenye luxury
Mkuu panda ndege hutokutana na hizo kero..😀😀😃😃🤓🤓🤓😊😊Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.
Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.
ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI.
.....shida tuliyonayo waafrika ni uvivu wa kusoma, hapa wadau wanakoment kwa tittle tu, mwafrika mfiche kitu kwenye maandishi tu umemaliza......Haha si ameshasema kuwa ana gari lakini haliendelei kusafiri nalo umbali mrefu?😂😂
Hamchelewi kumwambia atafute pesa.Kwa nini Umetoa Angalizo la kuwa una Gari?
Mtu mwenye hela na mwenye akili timamu hawezi kuishi maisha duni yaani kula yake tabu,sehemu ya kulala imejaa kila aina ya wadudu,mchafu wa mwili na mavazi,mtu kama huyo kwangu ni lofa tu.Wale watu wana hela kama upupu!
Wewe hao unaokutana nao huko ni wale wachungaji wa mshahara, hujukutana na matajiri wenyewe!!Mtu mwenye hela na mwenye akili timamu hawezi kuishi maisha duni yaani kula yake tabu,sehemu ya kulala imejaa kila aina ya wadudu,mchafu wa mwili na mavazi,mtu kama huyo kwangu ni lofa tu.
Asubuhi sana.Hamchelewi kumwambia atafute pesa.
Huwa wanapanda. Hao jamaa wana hela chafu sawa na uchafu wao.Epuka kupanda magari yaliyochoka,huwezi kuwakuta kwenye luxury
Nilishawahi kupanda basi moja na bataHapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.
Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.
ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI. KUHUSU KUPANDA NDEGE INAKUA NGUMU KUNA MIKOA HAMNA SAFARI ZA NDEGE KAMA KATAVI.
maskini mkipata hela kidogo kweli matako yanalia mbwata. Yaani unaita binadamu wenzako hayo majinga, na bado nyumbani kwenu mafukara tu. Nyie ni zaidi ya mangedereKaka, kusafiri na watu wa Hali ya chini kwenye gari moja unapenda mwenyewe. Mfano Kama unakwenda Mombasa au Tanga ukitokea Dar Kuna like bus la siti 35. Kila MTU kitu chake. Hakuna sijui 2×2 au 2×3 Ni mwendo wa 1x1. Hutakutana na watu wajinga kwenye haya mabasi. Dodoma pia lipo la hivi.
Kama Ni kwanza ukitokea Dar Kuna bus la 65000 hili wajinga hawapandi. Ukitokea Dar kwenda Dodoma ukapanda Basi la 17,000 lazima ukutane na kunguni, chawa, papasi, midomo kunuka n.k.
Kama unakwenda Arusha chukua Tahmed ya Nairobi kila mtu siti yake, wajinga hawapandi hii Basi hata wakipanda utakua kwenye siti yako binafsi na siti ya jirani iko mbali. Yaani Basi Ni Kama sitting room.
Hao wotehuwa hawapandi luxury maana luxury haisimami porini. Mara nyingi hao hupandia na kushukia porini.Hapa namaanisha Wamasai, Wagogo, Wasukuma na Mang'ati hawa watu usafi kwao ni sifuri wanajifunika na mashuka na mablanketi yanayonuka sana na mara nyingine yana kunguni na chawa. Usafi wa kinywa hawazing'atii wananuka midomo sana hawa watu usiombe ukae nao siti moja utajuta.
Mara nyingi ukisafiri kwenda Morogoro, Simiyu, Ruvuma, Katavi, Shinyanga, Manyara utakutana na hii kero.
ANGALIZO GARI NINALO ILA SIPENDELEI KUSAFIRI UMBALI MREFU HASWA MIKOANI NA GARI YANGU HUWA NAPANDA LUXURY NAKUTANA NAO NAHISI WANAUZA NG'OMBE SANA KISA KUSAFIRI. KUHUSU KUPANDA NDEGE INAKUA NGUMU KUNA MIKOA HAMNA SAFARI ZA NDEGE KAMA KATAVI.
Ila sio kama hizi changanyikeniHuwa wanapanda. Hao jamaa wana hela chafu sawa na uchafu wao.