tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
Habari wakuu,
Siku mbili nyuma nilikua safarini kutoka mkoa x kuja mkoa y. Safari yangu niliianza majira ya saa 1 jioni kwa usafiri wa bus.
Sasa kuna mtu tena mmama nilikua nimekaa nae siti moja nikashindwa kumuelewa alikua na appetite ya namna gani.
Kila bus likipiga break yeye lazima anunue kitu cha kula, mara mahindi ya kuchoma, mara yoghurt, soda, juice, korosho, machungwa, biscuits vyote vyake, uzuri hakua mchoyo kila alichokua ananunua alikua ananikaribisha ila bahati mbaya me sio mlaji safarini.
Nilishangaa tumefika sehemu ya kula ilikua ni around saa 8 usiku ila nikamuona kaja na wali kuku hapo ndio nikachoka hivi mtu unawezaje kupata hamu ya kula saa 8 za usiku?
Wasukuma nimewanyooshea mikono kwa kweli.
Siku mbili nyuma nilikua safarini kutoka mkoa x kuja mkoa y. Safari yangu niliianza majira ya saa 1 jioni kwa usafiri wa bus.
Sasa kuna mtu tena mmama nilikua nimekaa nae siti moja nikashindwa kumuelewa alikua na appetite ya namna gani.
Kila bus likipiga break yeye lazima anunue kitu cha kula, mara mahindi ya kuchoma, mara yoghurt, soda, juice, korosho, machungwa, biscuits vyote vyake, uzuri hakua mchoyo kila alichokua ananunua alikua ananikaribisha ila bahati mbaya me sio mlaji safarini.
Nilishangaa tumefika sehemu ya kula ilikua ni around saa 8 usiku ila nikamuona kaja na wali kuku hapo ndio nikachoka hivi mtu unawezaje kupata hamu ya kula saa 8 za usiku?
Wasukuma nimewanyooshea mikono kwa kweli.