Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

Naye ni mchafu?Sijui personal life yake,naongelea status yake na umri wake mbele ya jamii!
Kama ana mambo ya kifuska,hayo sijawahi kuyaona kwenye media,ila hili la jana limeonekana
kama humjui mtu vizuri sidhani kama ni busara kumzungumzia bila ya kumpa nafasi ya kujitetea
 
Wasafi na CMG tunawalinganisha katika nyanja ya kiburudani zaidi na in terms of control ya muziki bongo,so huwezi linganisha wasafi na azam au star tv na hata ITV.

Mzee baba ujio wa kituo kama EFM,kimeleta ushindani mkubwa sana kwa Clouds Fm.Mimi ni mshabiki wa Clouds hila kwenye redio na matamasha,Majjizo na timu yake wanaiumiza Clouds.

Hamshahamsha ya Fiesta si ile ya miaka miwili nyuma.Leo hii hamna moto hule.Siku hizi Fiesta linaonekana tamasha la kawaida sana.Mbaya zaidi,limekuwa jukwaa la watoto wa THT.

Naamini ujio wa Wasafi fm utaipeleka puta sana Cloudsfm.Kwa mfano mimi ukiachilia XXL hamna kipindi kingine na sikiliza kwenye hiyo redio.
 
Kiukweli nashangaa@ Joe ndia CEO clouds media ambao kwa sasa hawapigi nyimbo 100% from WCB hata zile za ft..
Hii inaonyesha namna gani picha haziendi kabisa..
Joe kuonekana pale hii inaonyesha hakuna tatizo kati yao..unaweza ukasema Joe kaenda km rafiki au fans bt huwezi kumtenganisha Joe na clouds popote alipo.
Swali la msingi ye kama bosi anashindwaje kutoa maelekezo kwa walio chini yake wapige ngoma za WCB?
Inasemekana WCB ni ya KUSAGA na DIAMOND, kwahyo kuipandisha juu WASAFI wakatengeneza Kiki ya WCB kutopewa nafasi Clouds...
 
Back
Top Bottom