Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

Kusaga kuwepo kwenye sherehe ya Diamond inamaanisha hakuna ugomvi kati ya WCB na Clouds

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Kiukweli nashangaa Joe ndio CEO Clouds Media Group ambao kwa sasa hawapigi nyimbo 100% from WCB hata zile za ft..
Hii inaonyesha namna gani picha haziendi kabisa.

Joe kuonekana pale hii inaonyesha hakuna tatizo kati yao..unaweza ukasema Joe kaenda kama rafiki au fans but huwezi kumtenganisha Joe na Clouds popote alipo.

Swali la msingi ye kama bosi anashindwaje kutoa maelekezo kwa walio chini yake wapige ngoma za WCB?
 
Usanii hauna tofauti na wanasiasa
Kiukweli nashangaa@ Joe ndia CEO clouds media ambao kwa sasa hawapigi nyimbo 100% from WCB hata zile za ft..
Hii inaonyesha namna gani picha haziendi kabisa..
Joe kuonekana pale hii inaonyesha hakuna tatizo kati yao..unaweza ukasema Joe kaenda km rafiki au fans bt huwezi kumtenganisha Joe na clouds popote alipo.
Swali la msingi ye kama bosi anashindwaje kutoa maelekezo kwa walio chini yake wapige ngoma za WCB?
 
Kiukweli nashangaa@ Joe ndia CEO clouds media ambao kwa sasa hawapigi nyimbo 100% from WCB hata zile za ft..
Hii inaonyesha namna gani picha haziendi kabisa..
Joe kuonekana pale hii inaonyesha hakuna tatizo kati yao..unaweza ukasema Joe kaenda km rafiki au fans bt huwezi kumtenganisha Joe na clouds popote alipo.
Swali la msingi ye kama bosi anashindwaje kutoa maelekezo kwa walio chini yake wapige ngoma za WCB?
Screenshot_20181007-205538.png
Screenshot_20181007-205611.png
 
Mbinu ya aina gani hiyo mkuu,fafanua
Imagine nyie familia yenu mna duka moja kubwa la vifaa vya ujenzi, baada ya kuona biashara ina competitor wengi ...na kuthreat ur business, mnamua kucreate attention kwa wateja wenu kwa kutangaza mgogoro wenyewe ndani ya familia yenu. Mnamua kugawana vitu..mpaka hapo watu watataka kujua yupi kaonewa ? Kwenye kutaka kujua kuna vitu viwili hutegemea kutokea 1 mtakaa sana kwenye haedline za watu, kimasoko huitwa positioning mana segmentation na targeting inakuwa tayari.2 walio kuwa threat wenu husaulika tena ile move yao. Kwa hiyo mtakuwa mnazungumziwa nyie kama rivals kumbe still behind curtain mpo pamoja. Impact yake 1 mtapata sided Customers ambao watajivika u royal kuhakikisha upande wao haupotei, 2 mtapata new Customers jins upepo unavyovuma, 3 some time hata waliokuwa threat wenu wanaanza kuwazungumzia nyie kwenye biashara zao 4 productions whom shall start to collapse itaongeza sales volume to each side 5 creativity na innovations itaongezeka zaidi kwenye product zenu!!!!!!!!!!!! Watu wana akili sana hasa watu wa masoko .................!!!
 
Imagine nyie familia yenu mna duka moja kubwa la vifaa vya ujenzi, baada ya kuona biashara ina competitor wengi ...na kuthreat ur business, mnamua kucreate attention kwa wateja wenu kwa kutangaza mgogoro wenyewe ndani ya familia yenu. Mnamua kugawana vitu..mpaka hapo watu watataka kujua yupi kaonewa ? Kwenye kutaka kujua kuna vitu viwili hutegemea kutokea 1 mtakaa sana kwenye haedline za watu, kimasoko huitwa positioning mana segmentation na targeting inakuwa tayari.2 walio kuwa threat wenu husaulika tena ile move yao. Kwa hiyo mtakuwa mnazungumziwa nyie kama rivals kumbe still behind curtain mpo pamoja. Impact yake 1 mtapata sided Customers ambao watajivika u royal kuhakikisha upande wao haupotei, 2 mtapata new Customers jins upepo unavyovuma, 3 some time hata waliokuwa threat wenu wanaanza kuwazungumzia nyie kwenye biashara zao 4 productions whom shall start to collapse itaongeza sales volume to each side 5 creativity na innovations itaongezeka zaidi kwenye product zenu!!!!!!!!!!!! Watu wana akili sana hasa watu wa masoko .................!!!
Hapo kwenye English sijaelewa
 
Back
Top Bottom