Kusaga: Sina hisa zozote ndani ya Wasafi Media

Kusaga: Sina hisa zozote ndani ya Wasafi Media

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa zozote ndani ya wasafi na Wala sijawahi kumchangia chochote diamond zaidi ya kumpa ushauri kuhusu media na ndio maana sina mamlaka Wala maamuzi yoyote ya wasafi media"

#baba kasema
 
Ha ha ha... Mke wa Kusaga Juhayna ndiyo ana hisa Wasafi na Mdogo wake Kusaga... Sasa hapo unakua umetenganisha nini sasa?? Mke wa Kusaga ndiyo Kusaga mwenyewe,kajificha tu nyuma ya pazia... Na hizi beef za Clouds na Wasafi sio kwamba hajui,anajua sana na ukute yeye ndiyo anazipanga ili wapige mtonyo,mjini akili,kijijini nguvu
Nafikiri mtakuwa mmepata majibu yake kwa wale ambao mnsmsingizia mzee wa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa zozote ndani ya wasafi na Wala sijawahi kumchangia chochote diamond zaidi ya kumpa ushauri kuhusu media na ndio maana sina mamlaka Wala maamuzi yoyote ya wasafi media"

#baba kasema

Mkuu ushabiki wa hawa jamaa umechukulia too personal mpaka unatukana watu kila mahali na kuchekwa sasa

Utajiumiza ndugu, au uwe na kifua


Mke wa Kusaga ndie mwenye Hisa

Pole
 
Ha ha ha... Mke wa Kusaga Juhayna ndiyo ana hisa Wasafi na Mdogo wake Kusaga... Sasa hapo unakua umetenganisha nini sasa?? Mke wa Kusaga ndiyo Kusaga mwenyewe,kajificha tu nyuma ya pazia... Na hizi beef za Clouds na Wasafi sio kwamba hajui,anajua sana na ukute yeye ndiyo anazipanga ili wapige mtonyo,mjini akili,kijijini nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
We umejuaje amejificha nyuma ya pazia?
 
Ni ngumu kutenganisha Wenza,
Hata serikalini kwenye kutoa tamko la Mali za viongozi wanatakiwa kutaja pia Mali za wenza wao.
Kimsingi kusaga anadanganya live aache propaganda za kiccm
 
Lini ulishaona uzi wangu unaelezea maisha ya zari?mara kukasirishwa na michepuko inayomkatikia kwenye sherehe?(mfano uzi wako wa kumkasirikia lulu diva kumkatikia domo),kazi zake,kazi za maadui zake?kila anachokifanya wapi ulishaona nimeanzisha uzi?
Numbisa umekuwa ukiwaita wenzako misukule lakini wewe ujioni kuwa na wewe pia ni msukule wa zari.
 
Kwani alpha na omega Babalao Dangote,mtoto wa Tandale,undefeated,uncomparable,tajiri mtoto,Diamond Platnumz ana maoni kani ktk hili???
 
Kusaga sounded evasive, unintelligent, repetitive, boring and otherwise totally and intentionally less than you'd expect from your Average Joe (pun intended), of which, he's obviously not. He even required the presence of two big dumb old men to bolster his interview performance, but unfortunately, without any luck.
 
Ha ha ha... Mke wa Kusaga Juhayna ndiyo ana hisa Wasafi na Mdogo wake Kusaga... Sasa hapo unakua umetenganisha nini sasa?? Mke wa Kusaga ndiyo Kusaga mwenyewe,kajificha tu nyuma ya pazia... Na hizi beef za Clouds na Wasafi sio kwamba hajui,anajua sana na ukute yeye ndiyo anazipanga ili wapige mtonyo,mjini akili,kijijini nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ili E fm apotee
 
Back
Top Bottom