Kusaga: Sina hisa zozote ndani ya Wasafi Media

Kusaga: Sina hisa zozote ndani ya Wasafi Media

Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa zozote ndani ya wasafi na Wala sijawahi kumchangia chochote diamond zaidi ya kumpa ushauri kuhusu media na ndio maana sina mamlaka Wala maamuzi yoyote ya wasafi media"

#baba kasema

ni kweli hana ila mkewe ndio anazo, tumia brain mzee baba daah


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kusaga ana akili timamu hawezi kubwabwaja kila kitu public
 
MALI YA MWANAMKE SIO YAKO.
Ha ha ha... Mke wa Kusaga Juhayna ndiyo ana hisa Wasafi na Mdogo wake Kusaga... Sasa hapo unakua umetenganisha nini sasa?? Mke wa Kusaga ndiyo Kusaga mwenyewe,kajificha tu nyuma ya pazia... Na hizi beef za Clouds na Wasafi sio kwamba hajui,anajua sana na ukute yeye ndiyo anazipanga ili wapige mtonyo,mjini akili,kijijini nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusaga sounded evasive, unintelligent, repetitive, boring and otherwise totally and intentionally less than you'd expect from your Average Joe (pun intended), of which, he's obviously not. He even required the presence of two big dumb old men to bolster his interview performance, but unfortunately, without any luck.
Hahah I laughed hard

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe watu wenye akili timamu hamjafa bado,I Concur comrade
Kusaga sounded evasive, unintelligent, repetitive, boring and otherwise totally and intentionally less than you'd expect from your Average Joe (pun intended), of which, he's obviously not. He even required the presence of two big dumb old men to bolster his interview performance, but unfortunately, without any luck.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa mlitegemea akubali kuwa ni mmiliki?ili mumroge ama?
 
Mke wakusanga share 53% alafu mtu anasema hazimuusu mume wake ivi mkuu diamond aliongeaje na mke watu biashara kubwa kama hiyo bila mume wake kushirikiswa. wewe tu mke wako akinunua katecno bila kukushirikisha unavimba wiki zima ukweli nikwamba kabla ya kuwezeka walikaa kifamilia na kufika muhafaka so hata Leo wakiachana watangawana pasu mpaka wasafi. Unaweza kukuta kusanga katumia akili tu kuweka share wasafi kupitia jina la mkee wake maana tumeona hata marahisi wanajifundia Mali kwamajina ya watoto waoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom