Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
While they are making fortune we are busy discussing them [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mnamlazimisha ?! Mtu amekataa na akasema Hana maamuz yyte , kuna watu vichwa maji SanaNi ngumu kutenganisha Wenza,
Hata serikalini kwenye kutoa tamko la Mali za viongozi wanatakiwa kutaja pia Mali za wenza wao.
Kimsingi kusaga anadanganya live aache propaganda za kiccm
Ha ha ha... Mke wa Kusaga Juhayna ndiyo ana hisa Wasafi na Mdogo wake Kusaga... Sasa hapo unakua umetenganisha nini sasa?? Mke wa Kusaga ndiyo Kusaga mwenyewe,kajificha tu nyuma ya pazia... Na hizi beef za Clouds na Wasafi sio kwamba hajui,anajua sana na ukute yeye ndiyo anazipanga ili wapige mtonyo,mjini akili,kijijini nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushabiki wa hawa jamaa umechukulia too personal mpaka unatukana watu kila mahali na kuchekwa sasa
Utajiumiza ndugu, au uwe na kifua
Mke wa Kusaga ndie mwenye Hisa
Pole
Bendera fata upepoHivi neno la kiswahili "maamuma" maana yake nini?
While they are making fortune we are busy discussing them [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungewaita kwa kitoleo cha huo uchafu uliotaja ingependeza sana.....Hawa watu jamani hivi hawana akili au kujitoa ufahamu hivi Mali ya Juhayna si ndo ya Joseph!!??Mavi yaoooo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa zozote ndani ya wasafi na Wala sijawahi kumchangia chochote diamond zaidi ya kumpa ushauri kuhusu media na ndio maana sina mamlaka Wala maamuzi yoyote ya wasafi media"
#baba kasema
Jonijo alishindwa nini kumbana?Hakuna mtu aliyesema Kusaga ana hisa Wasafi Media. Aliye na hisa ni mke wa Kusaga anaitwa Juhayna Kusaga au Juhayna Zaghalulu Ajmy kuwa anayemiliki asilimia 53
Sasa hapo ndo kutenganisha kati ya Kusaga na Kusaga wife nani yuko front nani anajificha
Chilisosi: Mke wa Kusaga na Diamond wamiliki Wasafi Televisheni
Hayo ni matatizo ya "waandishi wetu wa habari/watangazaji" wengi bongo hawajui kufanya mahojiano.Jonijo alishindwa nini kumbana?
Aliyovaa shati nyeupe
Aliyovaa shati nyeupe
Aliyovaa shati nyeupe
Ungewaita kwa kitoleo cha huo uchafu uliotaja ingependeza sana.....
Mke wake ndio ana hisa nenda TCRA manyigu nyieNafikiri mtakuwa mmepata majibu yake kwa wale ambao mnsmsingizia mzee wa watu.