Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

hata kama aligundua since day one, hata baada ya miaka 3 ndiyo awe amegundua means ameona tatizo lipo kwao ndiyo maana katoa amri nyimbo zipigwe, sasa mwenye mali kaamua zipigwe alafu Babu Tale anataka Kusaga amuandikeie burua ya maelezo kweli??
Of course waeleze sababu kwanini waliacha kupiga! Sasa kama waliacha kupiga kwavile Diamond au yeyote within WCB alifanya kosa lililowafanya Clouds wapige pini ngoma zao; sasa wasipotaja sababu za kuacha kupiga, hilo kosa si linaweza kurudiwa tena na kuendelea kupigwa pini tena na tena huku mara zote ukiwa hujui sababu kwa sababu muhusika, kwa kiburi tu hataki kutoa sababu, na hivyo kujipa mamlaka mwenyewe ya kukupiga pini anapotaka na kukufungulia anapotaka yeye bila kutoa sababu!!!
 
Hawa ni ma business minder, Kusaga bonge moja la mfanyabiashara mzuri katika Industry ya Burudani, hapa ukweli uko hivi, Kusaga kwa mwaka alikua na tamasha moja tu la Fiesta, na tayari watu wengi walikua wanachukizwa na Clouds kutopiga nyimbo za wasanii wanaowapenda, sasa kama backup ili apate hela za wanaompemda na wanaomchukia Ndio likaja wazo la kumtumia Diamond na kuanzisha media nyingine kubwa WCB, sa hivi anakula hela zote wanaomchukia wakienda WCB yupo ukimpenda ukaenda Fiesta yumo. Kiuhalisia hakuna beef yoyote kati ya Clouds media na WCB zote za Kusaga hizo.
Umeongea pumba Sana.
 
Mbona hawajampa airtime Qboy msafi, Harmonize au Rich Mavoko ...


Msiyoyajua ni sawa na usiku wa giza...


Au mbona hawawafanyii interview watangazaji wa clouds. Najua utakuwa umeona tatizo lilipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Q boy msafi juzi tu alikua refresh hapo au umemeza
Harmonize ni kinyago cha diamond hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Of course waeleze sababu kwanini waliacha kupiga! Sasa kama waliacha kupiga kwavile Diamond au yeyote within WCB alifanya kosa lililowafanya Clouds wapige pini ngoma zao; sasa wasipotaja sababu za kuacha kupiga, hilo kosa si linaweza kurudiwa tena na kuendelea kupigwa pini tena na tena huku mara zote ukiwa hujui sababu kwa sababu muhusika, kwa kiburi tu hataki kutoa sababu, na hivyo kujipa mamlaka mwenyewe ya kukupiga pini anapotaka na kukufungulia anapotaka yeye bila kutoa sababu!!!
Kusaga ameshasema hajibu barua wala haelezi chochote full stop.
 
Of course waeleze sababu kwanini waliacha kupiga! Sasa kama waliacha kupiga kwavile Diamond au yeyote within WCB alifanya kosa lililowafanya Clouds wapige pini ngoma zao; sasa wasipotaja sababu za kuacha kupiga, hilo kosa si linaweza kurudiwa tena na kuendelea kupigwa pini tena na tena huku mara zote ukiwa hujui sababu kwa sababu muhusika, kwa kiburi tu hataki kutoa sababu, na hivyo kujipa mamlaka mwenyewe ya kukupiga pini anapotaka na kukufungulia anapotaka yeye bila kutoa sababu!!!
Mfano mzuri ni Rama Dee walipatana na clouds baadae wakampiga pini Tena ngoma yake nibebe wakawa hawapigi.
 
Hili swali anaetakiwa kulijibu hayupo Ambae ni Ruge,.
Lilipaswa kujibiwa kwenye barua waliyoandikiwa na WCB. Wamekaa miaka mitano bila kupiga nyimbo za WCB halafu ghafla tu wanaanza kupiga, ina maana hiyo miaka yote hawakuona kama WCB wana nyimbo zinazopaswa kupigwa na media yao?
 
Binafsi naamini kwamba Diamond ni kati ya watazamani/wasikilizaji ambao walikuwa wanasubiri kwa hamu kusikia leo Kusaga atasema nini.
Bilashaka basi, ujumbe umemfikia mujarab kabisa tena bila tashwishwi.
Hapa nasubiri kusikia michambo toka kwa Salama na Tale

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe mke wa Kusaga ni mmiliki mwenza wa WCB media technically Kusaga ndio mmiliki wa hizo media mbili tusiwaamini sana mabepari na wanasiasa
 
Kusaga ameshasema hajibu barua wala haelezi chochote full stop.
FULL STOP?! Kwani si ni Kusaga mwenyewe ndie alitaka waanze kupiga ngoma za WCB?! Hiyo Full stop hapo haiingii kwa sababu hakuna ambae alienda kumwomba! Nadhani mpo disappointed kuona mtu mnayesema ndie boss wa Diamond lakini kakaziwa kupiga nyimbo za Diamond na wasanii wengine walio chini ya label anayoongoza!! Sidhani kama unaamini Diamond alitaka zipigwe lakini akina Tale ndo wakakaza! Ukiona management ya WCB ilikaza, basi ama ni Diamond mwenyewe ndie alitaka waendelee kukaza hadi wajieleze au alibariki!!!
 
Ikumbukwe mke wa Kusaga ni mmiliki mwenza wa WCB media technically Kusaga ndio mmiliki wa hizo media mbili tusiwaamini sana mabepari na wanasiasa
Kwanini technically mmiliki awe Kusaga wakatu umeshasema mke wake ndie mmiliki mwenza?! Kwamba huyo mke wa Kusaga hawezi kuwa na hiyo pesa, au?!
 
Kwanini technically mmiliki awe Kusaga wakatu umeshasema mke wake ndie mmiliki mwenza?!
1.Socially: Ukimmiliki mke unammiliki yeye na vyote vilivyomo ndani yake
2.Economically: kwenye political economy ya ulimwengu wa kibepari umiliki vivuli ni kawaida sana ili kuondoa mgongano wa maslahi kwa partiners na pia kuwachanganya wateja
 
1.Socially: Ukimmiliki mke unammiliki yeye na vyote vilivyomo ndani yake
2.Economically: kwenye political economy ya ulimwengu wa kibepari umiliki vivuli ni kawaida sana ili kuondoa mgongano wa maslahi kwa partiners na pia kuwachanganya wateja
Uliyosema yote ni kweli lakini pia tusisahau kwamba:-
1. Mke wa Kusaga ni Mwislamu! Na inasemekana Kusaga nae ni Mwislamu (alisilimu kwa ajili ya huyu mwanamke)! So, publicly, usemayo ni kweli lakini unapokuja kwenye sheria za Kiislamu, ndo na mali haviendi pamoja! Kwamba, assume ni kweli 53% ZOTE ni mali ya mke wa Kusaga personally, kwa mujibu wa Sheria za Kiislamu hiyo mali hapo Kusaga hana chake unless mke awe amekufa naye apate urithi!

2. Kwamba umiliki vivuli ni kawaida ni kweli pia lakini pia usisahau kwamba mke wa Kusaga anatoka familia bora, na ndo maana haishangazi kusikia Kusaga alisilimu kwa ajili ya huyo mwanamke! Na kwavile anatoka familia bora, inawezekana ni kweli yeye ni kivuli tu lakini pia inawezekana nae anamiliki kiasi cha hizo hisa!!
 
Diamond ana hisa 45% halafu unasema Diamond katoa jina, Kusaga ndo katoa mzigo?! Acheni masihara nyie watu! Halafu kiroja kingine ni hapo unaposema Kusaga ndie kaamua Wasafi miziki yao isipigwe kwenye baadhi ya radio wakati Kusaga mwenyewe wakati anahojiwa kasema wazi hana mamlaka yoyote juu ya WCB Label. Sasa how come tena awe na ubavu wa kuwapangia nyimbo zao zipige wapi na wapi zisipigwe?! Na kama aliamua zisipigwe, mbona baada ya uongozi wa WCB kugoma nyimbo zao mbona hajashinikiza ikiwa anao huo ubavu?!

The problem nyie watu bado hamtaki kukubali kwamba Diamond amepiga hatua kubwa sana, na matokeo yake ndo hayo! Kila kubwa linalofanyika, mnaamimi sio lake kwa saababu you don't believe ni SELF MADE hususani kutoka kwa mtu kama Diamond ambae hata shule yake yenyewe ndo hivyo tena!!!

Mwaka 2016, Diamond aliwahi kuhojiwa na kusema amekataa kusainiwa na Roc Nation ya Jay Z! Pitia huo uzi uone watu walivyokuwa wanamkejeli na kumwita muongo mtafuta kiki kwa maana hakuwa na ubavu wa kuwatolea nje ya Roc Nation! Na hao waliona Diamond alikuwa anatafuta kiki kwa sababu walikuwa hawataki kukubali kwamba jamaa alishapiga hatua kubwa!

Wote hao wakaja kuzibwa midomo baada ya hatimae Diamond kusainiwa na Universal! Na hata ukiangalia sababu alizotoa Diamond kwanini alikataa kusainiwa na Roc Nation, utaona alikuwa sahihi manake mkataba na Universal ulikuwa tofauti!!
Nimekupata babutale

Sent using my oneplus 7T
 
Kusaga anawamalizia bando tuu wasafi/cloud wote ni wake wake walivyo wajanja wanajitengenezea ugomvi ili wakae masikioni mwa watu bifu la Domo na kibakuli ndo linalofanya watu wawategee masikio hata wee jaribu kugomba hata week na mkeo afu mje mpatane penzi huwa Lina update operation system zake

Sent from my TECNO LC6 using Tapatalk
Wewe ndio umeusoma mchezo sasa

Sent using my oneplus 7T
 
Back
Top Bottom