ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Duwh kumbe mzee baba kaoa mtoto kishuaUliyosema yote ni kweli lakini pia tusisahau kwamba:-
1. Mke wa Kusaga ni Mwislamu! Na inasemekana Kusaga nae ni Mwislamu (alisilimu kwa ajili ya huyu mwanamke)! So, publicly, usemayo ni kweli lakini unapokuja kwenye sheria za Kiislamu, ndo na mali haviendi pamoja! Kwamba, assume ni kweli 53% ZOTE ni mali ya mke wa Kusaga personally, kwa mujibu wa Sheria za Kiislamu hiyo mali hapo Kusaga hana chake unless mke awe amekufa naye apate urithi!
2. Kwamba umiliki vivuli ni kawaida ni kweli pia lakini pia usisahau kwamba mke wa Kusaga anatoka familia bora, na ndo maana haishangazi kusikia Kusaga alisilimu kwa ajili ya huyo mwanamke! Na kwavile anatoka familia bora, inawezekana ni kweli yeye ni kivuli tu lakini pia inawezekana nae anamiliki kiasi cha hizo hisa!!
Ila katika macho ya kawaida kabisa huu mgogoro WCB na Clouds inawezekana mwanzoni ulikua kweli ila wazee wa fursa wakaona namna ya kuongeza kipato kupitia hio conflict sasa ni kusaga clouds mama WCB wanaua upinzani kwa kupambana wao kwa wao