Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

Hivi ni kweli watanzani tu "wajinga" kiasi hiki, ama ni baadhi tu ya watu wanadhani sisi ni "wajinga"? Hivi Clouds (Kusaga) anakuwaje na bifu na WCB(Kusaga/Diamond)?
 
Jamaa ni mfanyabiashara wa kiwango cha juu, anamiliki
*clouds fm
*clouds tv
*clouds plus
*choice fm
*clouds tv RW
*WASAFI media wapo share na mke wake

Huyu jamaa ndio mengi ajaye [emoji91][emoji91]
Kakataa hamiliki hisa yoyote
 
Kusaga anawamalizia bando tuu wasafi/cloud wote ni wake wake walivyo wajanja wanajitengenezea ugomvi ili wakae masikioni mwa watu bifu la Domo na kibakuli ndo linalofanya watu wawategee masikio hata wee jaribu kugomba hata week na mkeo afu mje mpatane penzi huwa Lina update operation system zake

Sent from my TECNO LC6 using Tapatalk
Sikushangai ni matatizo ya Tecno yako
 
Misukule wa Domo, Simba, Yanga, Magufuli na Mbowe wote HAWANA AKILI.

Kutengeneza Kundi La Misukule Tanzania ni Rahisi Sana.
 
Labda mzazi wako ndo atakiri kosa kwako na kukuomba msamaha. Mzazi wa kiafrika anayejiamini akuombe wewe msamaha??? Eti kisa alikuchapa zamani bila kujua kosa?? Hauko serious wewe unaleta drama mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwanza mtoto mwenye adabu huwezi kukaa kumuuliza baba eti kwa nini ukinipiga bila makosa. Kwanza unaanzaje?

Mtoto mwenye adabu unatakiwa uende na baba yako ivo ivo na kama una akili nzuri pia huwezi ukakataa kumuhudimia (kulipa kisasi kwa baba yako) eti kisa alikuchapaga bila makosa huko zamani. Nina imani hata eewe uliyendika hapa huwezi kufanya huo undezi.


Kama Kusaga (mzazi) aligundua alikosea hapo nyuma mtoto (Wasafi) hakutakiwa kumwambia baba jieleze la sivyo sikuhudumii. Hiyo ni adabu ya wapi? Kwanza personally Diamond (kama kiongozi wa Wasafi) kumwambia Kusaga ajieleze ni kukosa adabu sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
sawa
 
Labda mzazi wako ndo atakiri kosa kwako na kukuomba msamaha. Mzazi wa kiafrika anayejiamini akuombe wewe msamaha??? Eti kisa alikuchapa zamani bila kujua kosa?? Hauko serious wewe unaleta drama mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwanza mtoto mwenye adabu huwezi kukaa kumuuliza baba eti kwa nini ukinipiga bila makosa. Kwanza unaanzaje?

Mtoto mwenye adabu unatakiwa uende na baba yako ivo ivo na kama una akili nzuri pia huwezi ukakataa kumuhudimia (kulipa kisasi kwa baba yako) eti kisa alikuchapaga bila makosa huko zamani. Nina imani hata eewe uliyendika hapa huwezi kufanya huo undezi.


Kama Kusaga (mzazi) aligundua alikosea hapo nyuma mtoto (Wasafi) hakutakiwa kumwambia baba jieleze la sivyo sikuhudumii. Hiyo ni adabu ya wapi? Kwanza personally Diamond (kama kiongozi wa Wasafi) kumwambia Kusaga ajieleze ni kukosa adabu sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Dah na wewe ume comment


Basi sawa [emoji28][emoji28][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu watu wanachanganya sana haya mambo, Kusaga (mkewe) ana share kwenye media ya WASAFI na sio kwenye Label ya WASAFI. Yeye hana mamlaka yoyote yale juu ya wasanii wa WASAFI bali management ya WASAFI ndio wenye haki hiyo.

Sasa unavyoibuka kusema zote zake, wanatuchezea tu, unakuwa kombo. Maana Kusaga hawezi lazimisha nyimbo ya WASAFI ipigwe endapo Management yake imeweka pingamizi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja za kijinga ulizoziandaa kwa usongo. Wakati wenzio wanaendelea na michongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana kila mtu unamjua vizuri humu , sikiliza mdogo wangu maisha binafsi huwa atuyazungumzia humu , kinachojadiliwa humu ni HOJA ilioko mezani , sasa michongo kuna mtu alikuja kuomba chochote kwako ? acha unaa bobu
 
Back
Top Bottom