Kusah: Diamond sio msanii / Ruby ana mabwana wengi / ep yangu imetumia milioni 10

Kusah: Diamond sio msanii / Ruby ana mabwana wengi / ep yangu imetumia milioni 10

Chachasteven

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
1,941
Reaction score
2,044
Baada ya kuachia EP yake Kusa kasema haya




 
Husda pembeni... dogo anaifahamu kazi yake na anajua kujieleza vizuri sana. hayo ya private life hayatuhusu.
Kwa kujieleza vizuri dogo atafika mbali asipolewa sifa... Congratulations and all the best. Inshaallah.
 
Husda pembeni... dogo anaifahamu kazi yake na anajua kujieleza vizuri sana. hayo ya private life hayatuhusu.
Kwa kujieleza vizuri dogo atafika mbali asipolewa sifa... Congratulations and all the best. Inshaallah.
Mziki anajua ni kweli - Tatizo mziki wa Bongo ili ueleweka lazima uchanganye na personal life. Usipochanganya hiyo kitu hautoboi.
 
Mziki anajua ni kweli - Tatizo mziki wa Bongo ili ueleweka lazima uchanganye na personal life. Usipochanganya hiyo kitu hautoboi.
Ndio hivyo muziki anaujua na kujieleza pia, akitulia atafika mbali naiona nyota inaenda kuwaka vizuri huko mbeleni, Allah amsaidie tu asilewe sifa akaishia kua kama dogo Aslay... kipaji kimepotea bure tu.
 
Husda pembeni... dogo anaifahamu kazi yake na anajua kujieleza vizuri sana. hayo ya private life hayatuhusu.
Kwa kujieleza vizuri dogo atafika mbali asipolewa sifa... Congratulations and all the best. Inshaallah.
Kujua kuimba peke yake hakutoshi ndiyo maana wale wenye talents haswa(vocally) hauwaoni ku-shine, lazima uchanganye udambwidambwi ndipo showbiz industry utaimudu.
 
Basi
Kujua kuimba peke yake hakutoshi ndiyo maana wale wenye talents haswa(vocally) hauwaoni ku-shine, lazima uchanganye udambwidambwi ndipo showbiz industry utaimudu.
Basi inabidi dogo amtafute meneja mwenye uzoefu wa hayo mavituzz mapema sana ili amfungulie milango asije poteza kipaji chake bure tu. Meneja mwenye kujua fitna za game pia.
 
Basi

Basi inabidi dogo amtafute meneja mwenye uzoefu wa hayo mavituzz mapema sana ili amfungulie milango asije poteza kipaji chake bure tu. Meneja mwenye kujua fitna za game pia.
[emoji817]
Exactly.
 
Back
Top Bottom