Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
😀😀😀
silaha yako mpwaaz ya sasa,dah!
Hahaha! Uzuri wanamfahamu! Hehehe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀
silaha yako mpwaaz ya sasa,dah!
jamani acheni ubishi, hayo ya kusaidiana kazi si mliyatoa beijing??????????? na beijing je si iko china?????????????? sasa mwanaume anayeendekeza ubeijing wa kijinga si nae ni mwanume wa kichina?????????????//
unjua hata wanaume a kichina nao hujifariji kuwa ni orijno.............. mti hutambulika kwa matunda yake mamiiiiiiiii............ kama kweli dume na ndevu zake linapinda mgongo kufua kitasa.................... hilo ni janadume la kichina live at work!!!!!!!!!!!!!!...............
Hivi siku tukishindwana kabisa utaniambia niondoke na watoto, si utaniambia nenda mwenyewe kama ulivyo kuja, au nakosea.
si wanaume wenye ndoa zao?....wanatakiwa waeleze hapa wanawasaidia nini wake zao(proposal ya DC)😀😀chama gani?
Yani umeongea ukweli mtupuHawa wote wanabishana na wanawake hapa ndani ya JF hebu wakute wako ndani ya family
can' say more ...
😀😀😀
lakini kwenye hichi chama tuko wengi sana....!
Hivi siku tukishindwana kabisa utaniambia niondoke na watoto, si utaniambia nenda mwenyewe kama ulivyo kuja, au nakosea.
Umegundua hilo? Be happy.FL1,
Naona hapa watu wanaongeza posts bure. Hakuna kitu cha maana wanachobishania. Pia kuna wengine amani yao ni kusikia akina SHE wakilalamika au kuchukia mbele ya PC zao. Ni sehemu ya mjadala tu, hakuna uhalisia wowote. Ndo maana hata G ameshindwa kueleza kipi anafanya au hafanyi.
Ngoja nisukume kibarua. Wish you all a nice day, Ciao!
wanakuwa wamelowa kweli hawa wanaume!Yani umeongea ukweli mtupu
Yani umeongea ukweli mtupu
haya!ngoja tusubiri.....!Usijali G,
Ni vugumu kueleza umefikia wapi katika maisha mapya kwa washikaji unaofahamiana nao vizuri sana. Tena pengine ulikuwa unawambia miiko yako kabla ya kujitia kitanzi. Hata hivyo wewe endelea kuuchuna. Ni muda, kila mtu atajua ngoma imekubana kiasi gani au umesevu na kinamna gani. We will know very soon, once euphoria/hang over is gone!
Sasa Pape hii we unaona imekaaje baba zima linafua sindiria ya mke wake na shumizi juu alafu na likufuli kuuubwa la mke wake kama ni bonge linakuwa kuuubwa kama sketi limekaa nje unaonaje hapo?
Hapo kwenye red bado napafanyia utafiti wa kina. Kaizer na Askofu watakuwa na kesi ya kujibu.
si wanaume wenye ndoa zao?....wanatakiwa waeleze hapa wanawasaidia nini wake zao(proposal ya DC)😀😀
unajua mwanaume mwenye ndoa anaweza toa ushuhuda halisi
lakini mimi naamini wanaofua watakuwepo tu mpwaaz.inategemea ni mwanamke wa wapi uko nae...!Kama huu naoutoa hapa kuwa mimi sijawahi, sifui, na wala sitegemei kufua kufuli la mai waifu!
Acha ubaguzi wa rangi.Mpwa twende zetu tukapige valuu wamekusanyika wapo wengi sasa.
Bila shaka wa Tanga (chuda raha) lazima ufue,upike na upakue.lakini mimi naamini wanaofua watakuwepo tu mpwaaz.inategemea ni mwanamke wa wapi uko nae...!
Acha ubaguzi wa rangi.