Kusaidiana kwenye ndoa...

Kusaidiana kwenye ndoa...

jamani acheni ubishi, hayo ya kusaidiana kazi si mliyatoa beijing??????????? na beijing je si iko china?????????????? sasa mwanaume anayeendekeza ubeijing wa kijinga si nae ni mwanume wa kichina?????????????//



unjua hata wanaume a kichina nao hujifariji kuwa ni orijno.............. mti hutambulika kwa matunda yake mamiiiiiiiii............ kama kweli dume na ndevu zake linapinda mgongo kufua kitasa.................... hilo ni janadume la kichina live at work!!!!!!!!!!!!!!...............

Correction hapo kwenye red mwanaume anayenipenda live at work.
 
Hivi siku tukishindwana kabisa utaniambia niondoke na watoto, si utaniambia nenda mwenyewe kama ulivyo kuja, au nakosea.


Hapana LF,

Ikibidi kutengana tunagawana majukumu. Mama hawezi kuniachia watoto wote na kwenda kutesa na mpangaji mpya. Hata mimi sioni kama ni haki nimwache mama na watoto na kwenda kuliendeleza na kuku wadogo. Ni mzigo wetu sote kwa hiyo lazima tuubebe pamoja hadi mwisho.
 
chama gani?
si wanaume wenye ndoa zao?....wanatakiwa waeleze hapa wanawasaidia nini wake zao(proposal ya DC)😀😀

unajua mwanaume mwenye ndoa anaweza toa ushuhuda halisi
 
😀😀😀
lakini kwenye hichi chama tuko wengi sana....!


Usijali G,

Ni vugumu kueleza umefikia wapi katika maisha mapya kwa washikaji unaofahamiana nao vizuri sana. Tena pengine ulikuwa unawambia miiko yako kabla ya kujitia kitanzi. Hata hivyo wewe endelea kuuchuna. Ni muda, kila mtu atajua ngoma imekubana kiasi gani au umesevu na kinamna gani. We will know very soon, once euphoria/hang over is gone!
 
Hivi siku tukishindwana kabisa utaniambia niondoke na watoto, si utaniambia nenda mwenyewe kama ulivyo kuja, au nakosea.

i doubt kama AK atataka hao watoto wabaki, manake hataweza kuwahudumia,atasema ni kazi ya mkewe hivo waende na mama yao, then wakikua ataanza kujisifu yeye ni baba ana watoto wakubwa,wakati hakuchangia hata sent moja. hoooi ubaba ni zaidi ya kuweka mbegu pale wajameni.
 
FL1,

Naona hapa watu wanaongeza posts bure. Hakuna kitu cha maana wanachobishania. Pia kuna wengine amani yao ni kusikia akina SHE wakilalamika au kuchukia mbele ya PC zao. Ni sehemu ya mjadala tu, hakuna uhalisia wowote. Ndo maana hata G ameshindwa kueleza kipi anafanya au hafanyi.

Ngoja nisukume kibarua. Wish you all a nice day, Ciao!
Umegundua hilo? Be happy.
Hapo kwenye red bado napafanyia utafiti wa kina. Kaizer na Askofu watakuwa na kesi ya kujibu.
 
Yani umeongea ukweli mtupu
wanakuwa wamelowa kweli hawa wanaume!
ninachokijua mimi wanaume pamoja na misuli yao WAKIWA MBELE YA WAKE ZAO-utawahurumia!.....

mungu alitumia akili ya ziada sana kumuumba mwanamke
 
Usijali G,

Ni vugumu kueleza umefikia wapi katika maisha mapya kwa washikaji unaofahamiana nao vizuri sana. Tena pengine ulikuwa unawambia miiko yako kabla ya kujitia kitanzi. Hata hivyo wewe endelea kuuchuna. Ni muda, kila mtu atajua ngoma imekubana kiasi gani au umesevu na kinamna gani. We will know very soon, once euphoria/hang over is gone!
haya!ngoja tusubiri.....!
 
leo nanyanyaswa na sloo network sijapata ona.au ndo bani zinavoanzanga hivi?na thread inavokimbia!
 
Me sio mwanandoa ila nadhani inategemea na mazoea yenu au makubaliano yenu. Kimsingi best nguo za ndani ufue mwenyewe.
 
Sasa Pape hii we unaona imekaaje baba zima linafua sindiria ya mke wake na shumizi juu alafu na likufuli kuuubwa la mke wake kama ni bonge linakuwa kuuubwa kama sketi limekaa nje unaonaje hapo?

Pia waweza kusema hivi,

Uonaje libaba zima linatumia mikono/midomo kumvua mama sidiria n.k halafu linafanya 1, 2, 3.....? Hiyo inakubalika?
 
si wanaume wenye ndoa zao?....wanatakiwa waeleze hapa wanawasaidia nini wake zao(proposal ya DC)😀😀

unajua mwanaume mwenye ndoa anaweza toa ushuhuda halisi

Kama huu naoutoa hapa kuwa mimi sijawahi, sifui, na wala sitegemei kufua kufuli la mai waifu!
 
Kama huu naoutoa hapa kuwa mimi sijawahi, sifui, na wala sitegemei kufua kufuli la mai waifu!
lakini mimi naamini wanaofua watakuwepo tu mpwaaz.inategemea ni mwanamke wa wapi uko nae...!
 
Back
Top Bottom