Kusaidiana kwenye ndoa...

Kusaidiana kwenye ndoa...

Kama huu naoutoa hapa kuwa mimi sijawahi, sifui, na wala sitegemei kufua kufuli la mai waifu!

Misimamo kama hii ndo inayo hitajika kwa mwanaume unakuwa na msimamo wako na unausimamia.
 
wanakuwa wamelowa kweli hawa wanaume!
ninachokijua mimi wanaume pamoja na misuli yao WAKIWA MBELE YA WAKE ZAO-utawahurumia!.....

mungu alitumia akili ya ziada sana kumuumba mwanamke


Ndo maana wenye uzoefu wetu tumeshasema kuwa kinachoendelea hapa ni kusogeza posts na kurasa za hii thread. Hakuna kitu hapa.

Lakini mjadala kama huu ni hatari sana kwa wale prospective husbands. Wanaweza kudhani kuwa watamudu kubaki ni huo msuli wanaodhani wanao wakati wakiongea na washikaji kwenye vijiwe. Wanawake waliumbwa siku yao kwa hiyo ni viumbe tofauti, na wala tuache kujidanga kuwa tunawajua vyema. Ila ukiwajulia basi tena, unakula kwa ulaini.
 
Ndo maana wazungu walitengeneza washing machine! Hakuna taabu hii!
 
Du!! inaonyesha mwanaume ni mchafu yaani hakuingia bafuni siku nzima?? inamaana hakuoga kutwa nzima?? au ilikua geresha?? kufua vitasa vya mwenzio ni kawaida kama kawaida hiyo mnayo pia ili nguo itakate hasa ya ndani (kwa wale wavaao nyeupe kama mimi) lazima zilowekwe siku nzima ili isikupe taabu kufua.....
 
Kama huu naoutoa hapa kuwa mimi sijawahi, sifui, na wala sitegemei kufua kufuli la mai waifu!
ha ha ha Mkuu ivi inakuaje mpaka anakua hajaifua wakati anaoga?then uje ufue wewe!! hii sasa itakua ni mtego tu!!
 
ha ha ha Mkuu ivi inakuaje mpaka anakua hajaifua wakati anaoga?then uje ufue wewe!! hii sasa itakua ni mtego tu!!

Upendo mkuu unamitihani mingi kwa kweli unaweza tegeshewa hapo kama unaupendo wa kichina utajulikana.
 
Upendo mkuu unamitihani mingi kwa kweli unaweza tegeshewa hapo kama unaupendo wa kichina utajulikana.
ha ha ha mitego mingine bana kutafutiana lawama tuu!! dah sasa ndo tutegeane kwenye makufuli ha ha ha!!
 
ha ha ha mitego mingine bana kutafutiana lawama tuu!! dah sasa ndo tutegeane kwenye makufuli ha ha ha!!

Hahahaha sio makufuli tu hata zile zingine zile nazo unaachiwa ukatupe kuna sidiria mzeee shumizi sijui.
 
i doubt kama AK atataka hao watoto wabaki, manake hataweza kuwahudumia,atasema ni kazi ya mkewe hivo waende na mama yao, then wakikua ataanza kujisifu yeye ni baba ana watoto wakubwa,wakati hakuchangia hata sent moja. hoooi ubaba ni zaidi ya kuweka mbegu pale wajameni.

Kweli tupu hapo kwenye red wako wengi mno tunapishanana nao barabarani kila siku.
 
Msisahau ishu hapa si kufua tu,ni pamoja na kubadilisha pampas,kupika na majukumu mengine ya ndani mengi.


Hapo sasa? Tena wakati mwingine mtoto anahitaji kubadilishwa pempasi usiku wa manane na wote mmesinzia baada ya uchovu wa kazi za kutwa. Sijui mtu unawezaje kuhalalisha kumtegea mke wake ambadilishe mtoto kila siku? Halafu kuna kasheshe la watoto wachanga sana, wanalala mchana na kuwa macho usiku. Inafikia wakati wa kupeana zamu za kukaa na mtoto. Hapo pia inakuwaje mtu alete visingizio wakati mama ndo baado hajapona uchovu wa kujifungua. Kuna mambo mengi sana kwenye nyumba, ni machine tu inayoweza kuachiwa ifanye kila kitu.
 
i doubt kama AK atataka hao watoto wabaki, manake hataweza kuwahudumia,atasema ni kazi ya mkewe hivo waende na mama yao, then wakikua ataanza kujisifu yeye ni baba ana watoto wakubwa,wakati hakuchangia hata sent moja. hoooi ubaba ni zaidi ya kuweka mbegu pale wajameni.
Hawa wanaitwa wanaume surual suruali.
 
Hapo sasa? Tena wakati mwingine mtoto anahitaji kubadilishwa pempasi usiku wa manane na wote mmesinzia baada ya uchovu wa kazi za kutwa. Sijui mtu unawezaje kuhalalisha kumtegea mke wake ambadilishe mtoto kila siku? Halafu kuna kasheshe la watoto wachanga sana, wanalala mchana na kuwa macho usiku. Inafikia wakati wa kupeana zamu za kukaa na mtoto. Hapo pia inakuwaje mtu alete visingizio wakati mama ndo baado hajapona uchovu wa kujifungua. Kuna mambo mengi sana kwenye nyumba, ni machine tu inayoweza kuachiwa ifanye kila kitu.

Bora kakangu useme ukweli.Mrs DC ana raha sana.I envy her!
 
wanakuwa wamelowa kweli hawa wanaume!
ninachokijua mimi wanaume pamoja na misuli yao WAKIWA MBELE YA WAKE ZAO-utawahurumia!.....

mungu alitumia akili ya ziada sana kumuumba mwanamke
Naona umeamua kujenerolaizi siyo? Na wewe inclusive siyo? Si kwa mshiki yule nayemjua lakini. Labda kuna mwingine.....! Ngoja nivute pumzi kidogo!
 
Naona umeamua kujenerolaizi siyo? Na wewe inclusive siyo? Si kwa mshiki yule nayemjua lakini. Labda kuna mwingine.....! Ngoja nivute pumzi kidogo!

Hahaha hapa nahisi yeye kajitoa amejumuisha wengine ndo maana mm nimeishia kukonyeza tu.
 
Back
Top Bottom