Kusaidiana kwenye ndoa...

Kusaidiana kwenye ndoa...

na kamwe hutabadilika na utazidi kuheshimika. big up mkuu. huna tofauti ma my dia wangu, a great dad, an caring hubby. au mmetoka kabila moja nini,? kila kitu ni mipango tu,

Mi sifanyi hayo na mai waifu ananisifia hivyohivyo! Tena anaongezea na a real lover.
 
niliwahi kumuuliza mshiki kama angependa tusaidiane kazi akasema NDIYO!...asubuhi yake nikampa ovaroli langu,mwiko wa kujengea,pima maji,helmet ya site,gandi-buti then nikamwambia ''tuongozane kazini my wifey-TUKASAIDIANE''...!unajua kilichotokea?😀😀
Geoff nimecheka mpaka basi, my advise usimtese wifi mapema hivyo matofali mazito sana bwana lakini kitasa ni very light and simple.
 
hahahaaa baelezeeeeeeeeee baelewa AK 47 ubishi tu...........

jamani acheni ubishi, hayo ya kusaidiana kazi si mliyatoa beijing??????????? na beijing je si iko china?????????????? sasa mwanaume anayeendekeza ubeijing wa kijinga si nae ni mwanume wa kichina?????????????//

Origino 100 pase!!!

unjua hata wanaume a kichina nao hujifariji kuwa ni orijno.............. mti hutambulika kwa matunda yake mamiiiiiiiii............ kama kweli dume na ndevu zake linapinda mgongo kufua kitasa.................... hilo ni janadume la kichina live at work!!!!!!!!!!!!!!...............
 
Geoff nimecheka mpaka basi, my advise usimtese wifi mapema hivyo matofali mazito sana bwana lakini kitasa ni very light and simple.

Eti asimtese na anaposema kazi kusaidiana maanake nn sasa? Si ndo hivyo au kusaidiana kufua tu?
 
Lol, unabahati mbaya! Mbona wengine wanafuta tena katika nyumba za kupanga nje peupeeeeeeeeeeee! Janaume linafua sketi, bra, chupi...lol
 
Hawa wote wanabishana na wanawake hapa ndani ya JF hebu wakute wako ndani ya family
can' say more ...

FL1,

Naona hapa watu wanaongeza posts bure. Hakuna kitu cha maana wanachobishania. Pia kuna wengine amani yao ni kusikia akina SHE wakilalamika au kuchukia mbele ya PC zao. Ni sehemu ya mjadala tu, hakuna uhalisia wowote. Ndo maana hata G ameshindwa kueleza kipi anafanya au hafanyi.

Ngoja nisukume kibarua. Wish you all a nice day, Ciao!
 
FL1,

Naona hapa watu wanaongeza posts bure. Hakuna kitu cha maana wanachobishania. Pia kuna wengine amani yao ni kusikia akina SHE wakilalamika au kuchukia mbele ya PC zao. Ni sehemu ya mjadala tu, hakuna uhalisia wowote. Ndo maana hata G ameshindwa kueleza kipi anafanya au hafanyi.

Ngoja nisukume kibarua. Wish you all a nice day, Ciao!
😀😀😀
lakini kwenye hichi chama tuko wengi sana....!
 
Lol, unabahati mbaya! Mbona wengine wanafuta tena katika nyumba za kupanga nje peupeeeeeeeeeeee! Janaume linafua sketi, bra, chupi...lol

Sasa Pape hii we unaona imekaaje baba zima linafua sindiria ya mke wake na shumizi juu alafu na likufuli kuuubwa la mke wake kama ni bonge linakuwa kuuubwa kama sketi limekaa nje unaonaje hapo?
 
Dah hi silaha ya sasa naona imeagizwa toka Iraq.Mchumba anajihami kweli! Kuna kitu hapa si bure.
silaha ya maangamizi!siku atapewa mtu namba ya ZD(mama-matesha) athibitishe..!patakuwa hapaenei hapa😀😀
 
Back
Top Bottom