FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Mi napenda challenge. So sometimes naongelea uzoefu wangu wa maisha ya kila siku na wakati mwingine tofauti kabisa na hali halisi. Inanisaidia kupata uzoefu kwa wengine na kuboresha pale napoona nilikwenda kinyume.
Pamoja mkuu.
Ila Makufululi sifui!
Mi napenda challenge. So sometimes naongelea uzoefu wangu wa maisha ya kila siku na wakati mwingine tofauti kabisa na hali halisi. Inanisaidia kupata uzoefu kwa wengine na kuboresha pale napoona nilikwenda kinyume.
Pamoja mkuu.
Ila Makufululi lazima nifue na mimi![/QUOTE]
Hehehehehee! Senks!
Umejaribu hicho kitu au unongea hypothetically? Kuna wengine hata mwenzi hawana habari. Wao wanacheza na watoto na kujishulisha na nguo zao kwenye wardrobes. Usije ukajikuta unaanza kutoa machozi ndugu yangu kwa kuanzisha vita ya mayai na mawe wakati wewe mwenyewe ni yai!
Mi napenda challenge. So sometimes naongelea uzoefu wangu wa maisha ya kila siku na wakati mwingine tofauti kabisa na hali halisi. Inanisaidia kupata uzoefu kwa wengine na kuboresha pale napoona nilikwenda kinyume.
Pamoja mkuu.
Ila Makufululi sifui!
Safi sana.Baelezee DC.wewe ni mfano wa kuigwa.Big up bro.
Hahaha! Nilisahau kidogo. Fidel na GP huruka pamoja!π No wonder you have changed! LOLZ!MIMI NA FIDEL SI NDEGE WA AINA MOJA!.....if you know what i am sayingπDπ(on the veery serious note:M..H..K.. NI MEMBA WA JFπ)
Jaribu kuvaa mawani naweeMbona umeweka maandishi yaliyofifia binamu ??
kha! okay baaai! ni nini hiki hapa leo?
Nimesoma page 1-25 sijaona kitu!
eneenda na amaaaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:πkha! Okay baaai! Ni nini hiki hapa leo?
Nimesoma page 1-25 sijaona kitu!
kha! okay baaai! ni nini hiki hapa leo?
Nimesoma page 1-25 sijaona kitu!
NAMJIBIA-nimeshakwenda nyumbani kwake kimanzi-chanaπWewe unafua au hufui? Unapika na kudiki au la?
Hahaha! Nilisahau kidogo. Fidel na GP huruka pamoja!π No wonder you have changed! LOLZ!
Jaribu kuvaa mawani nawee
hommie, tangu umeniona nimejaribu kusoma sijaona kitu kabisa!
Kwani, hivi ..aargh..twen zetu kwen valuu bana:d
geoff, that is notedπ
kha! okay baaai! ni nini hiki hapa leo?
Nimesoma page 1-25 sijaona kitu!
mmeshakubali kuwafulia wake zenu vy..pi?
ngumu-kumesa!...lakini inawezekana tu.mke wangu akiugua miezi miwili kitandani?HATA NEPI NITAM-BADILISHA TUmmeshakubali kuwafulia wake zenu vy..pi?
hahaha pole nenda kwanza na Fidel80 pale chawote ukirudi utaona Kaizer
Usinambie umeoa katoto. Kwa hiyo mshiki kumbe mke wa pili?ngumu-kumesa!...lakini inawezekana tu.mke wangu akiugua miezi miwili kitandani?HATA NEPI NITAM-BADILISHA TU
wewe hujawahi kuuguliwa mpwaaz!....utayaona tu(GOD FORBID)Usinambie umeoa katoto. Kwa hiyo mshiki kumbe mke wa pili?
Kuuguliwa ndo mtu afungwe nepi?wewe hujawahi kuuguliwa mpwaaz!....utayaona tu(GOD FORBID)