Kusaidiana kwenye ndoa...

Kusaidiana kwenye ndoa...

niliwahi kumuuliza mshiki kama angependa tusaidiane kazi akasema NDIYO!...asubuhi yake nikampa ovaroli langu,mwiko wa kujengea,pima maji,helmet ya site,gandi-buti then nikamwambia ''tuongozane kazini my wifey-TUKASAIDIANE''...!unajua kilichotokea?😀😀

Yes! Alienda bafuni kufua kufuli za bwashee! Hapa lazima nipate Senksi!😀
 
Mwanaume hana khaki ya kufua nguo ya mke wake kikwetu ni dhambi hata dini pia

Hiyo sheria katunga nani? Dini ipi na unaweza kutusaidia mistari ili twende pamoja? Kama kuna sheria kama hiyo basi naomba uanze kuandaa orodha ya watu wa kuburuzwa mahakamani na mimi nipe namba 1. Na kama ni dhambi basi ngoja tuwaanchie hiyo nfasi ya kwenda mbinguni!
 
wandugu,
DHANA YA KUSAIDIANA NI PANA SANA...!inategemea pia mnasaidiana nini.kuna vitu hupendeza sana vikifanywa na mwanaume,na kuna vitu hupendeza zaidi vikifanywa na mwanamke.TUWE WAKWELI
 
The Following User Says Thank You to Geoff For This Useful Post: Chrispin (Today)

Huna haja ya kwenda kukagua!
 
Kwetu mwanamke anapigwa talaka 3 na hapewi begi anawekewa nguo kwenye kiloba na kurudishwa kwao na mali inarudishwa siku hiyo hiyo nyambafu.
kweli huko kwenu bado mko naintiin kweusi. huku kwetu taraka hapewi mtu, ukichoka unaondoka wewe na begi unasaidiwa kufungasha.. mahari hairudishwi maana baba angu ha-run bank ambayo mali alipewa akutunzie urudi kuchukua wakati wowote upo?
 
wandugu,
DHANA YA KUSAIDIANA NI PANA SANA...!inategemea pia mnasaidiana nini.kuna vitu hupendeza sana vikifanywa na mwanaume,na kuna vitu hupendeza zaidi vikifanywa na mwanamke.TUWE WAKWELI

KWELI KABISA. Kufua kufuli ni za wanawake!
 
wandugu,
DHANA YA KUSAIDIANA NI PANA SANA...!inategemea pia mnasaidiana nini.kuna vitu hupendeza sana vikifanywa na mwanaume,na kuna vitu hupendeza zaidi vikifanywa na mwanamke.TUWE WAKWELI

Akina mama SHE wanasema kusaidiana kufua fua kupiga deki kupika lakini sio kazi kama kutoa kodi ya meza kulipa kodi kutoa ada za shule hapo wa SHE wanasema ni za kiume tu lol ndo hapo napo choka.
 
Hehehehe si wengine huwa hatutaniwi bana serious akiniambia nimfulie sidiria sijui nguo zake tunaongozana mpaka kwa wazazi wake wanieleze huyu mtu nimelipa posa na mahali juu aje kwangu nimfulie waseme kama vp wachukue mzigo wao bana n'tu nimegharamia alafu aje nianze kumfulia,kumpikia wapi na wapi bana.
Nakulainisha mpaka unakubali matokeo.
 
kweli huko kwenu bado mko naintiin kweusi. huku kwetu taraka hapewi mtu, ukichoka unaondoka wewe na begi unasaidiwa kufungasha.. mahari hairudishwi maana baba angu ha-run bank ambayo mali alipewa akutunzie urudi kuchukua wakati wowote upo?

Carmel leo nimezimisi SENKSI zako kweli. Hebu do the needful.
 
Hawa wote wanabishana na wanawake hapa ndani ya JF hebu wakute wako ndani ya family
can' say more ...
 
Hapo mlishakubaliana. Kwa hiyo kukiuka makubaliano ni uchokozi. Na ndiyo mwanzo wa kuvunja mikataba ikiwemo ndoa. Mimi sikuwa na makubaliano yoyote kama hayo. Kwa hiyo kazi zote za ndani nafanya na hata nguo zozote nafua kutegemeana na muda wangu. Naamini bado ni mwanamume tu, tena baba mwenye kujali familia.

na kamwe hutabadilika na utazidi kuheshimika. big up mkuu. huna tofauti ma my dia wangu, a great dad, an caring hubby. au mmetoka kabila moja nini,? kila kitu ni mipango tu,
 
kweli huko kwenu bado mko naintiin kweusi. huku kwetu taraka hapewi mtu, ukichoka unaondoka wewe na begi unasaidiwa kufungasha..

Weeeee kule kwenu ni balaaaa eti unaondoka hivi hivi mmmh hapa kuna??????? uondoke bila kovu?
 
Akina mama SHE wanasema kusaidiana kufua fua kupiga deki kupika lakini sio kazi kama kutoa kodi ya meza kulipa kodi kutoa ada za shule hapo wa SHE wanasema ni za kiume tu lol ndo hapo napo choka.
Binamu kwani mtoto ni wa nani? mama au baba?

Anabeba surename ya nani?
 
Hiyo sheria katunga nani? Dini ipi na unaweza kutusaidia mistari ili twende pamoja? Kama kuna sheria kama hiyo basi naomba uanze kuandaa orodha ya watu wa kuburuzwa mahakamani na mimi nipe namba 1. Na kama ni dhambi basi ngoja tuwaanchie hiyo nfasi ya kwenda mbinguni!
Thats a true gentleman as always! tell them boys, they need to grow up.
 
Akina mama SHE wanasema kusaidiana kufua fua kupiga deki kupika lakini sio kazi kama kutoa kodi ya meza kulipa kodi kutoa ada za shule hapo wa SHE wanasema ni za kiume tu lol ndo hapo napo choka.

Hapo nadhani kuna tatizo. Kama wote tunafanyakazi na kupokea mshahara mwisho wa mwezi hata matumizi ya ndani lazima tuchangie. Na kama tunachangia basi hata kazi nyingine hakuna sababu ya kutosaidiana.
 
Back
Top Bottom