Kusajili dini ni kinyume cha Katiba ya nchi kifungu namba 19

Kusajili dini ni kinyume cha Katiba ya nchi kifungu namba 19

Makubwa !!
Hivyo akitokea Kibwetere toleo jipya aruhusiwe kuanzisha hekalu lake la kuchoma waaumini moto wawahi peponi/paradiso?
Vipi ile Jamestown cult ya Marekani ipewe carte blanche kuendeleza imani yao?🤔
 
Sio dini ni Madhehebu.

Kuna KKKT, Pentekoste, SABATO, Angliacan....hizi zinaendeshwa kwa mfumo shirikishi. Wana viongozi wao wanaochaguana kuendana na katiba zao.

Shida ipo huku kwa kina Mzee wa upako....Yeye ndio kila kitu, akiwaataka watu wakagaregare kwenye mafuta hakuna wa kumpinga.
Si kila dini ina katiba zingine kiongozi ndiye katiba mfano kuna huyu ndie Mungu mwenyewe mungu mtu wanayemwabudu unataka wawe na katiba ipi?

 
Makubwa !!
Hivyo akitokea Kibwetere toleo jipya aruhusiwe kuanzisha hekalu lake la kuchoma waaumini moto wawahi peponi/paradiso?
Vipi ile Jamestown cult ya Marekani ipewe carte blanche kuendeleza imani yao?🤔
Hapo unatakiwa u deal na individual sio dini
sheria za uhalifu zipo zina deal na individual mhalifu tu
 
Serikali haina mamlaka ya kusajili dini ni kinyume cha katiba ya nchi kifungu cha 19 hiki hapa nanukuu

19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani
na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu
kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya
Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza
dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na
shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya
shughuli za mamlaka ya nchi



Mfano Hii dini serikali itataka kuisajili? au inamlenga nani Kwenye huo usajili?


Serikari yenu chovu
 
Serikali haina mamlaka ya kusajili dini ni kinyume cha katiba ya nchi kifungu cha 19 hiki hapa nanukuu

19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani
na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu
kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya
Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza
dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na
shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya
shughuli za mamlaka ya nchi



Mfano Hii dini serikali itataka kuisajili? au inamlenga nani Kwenye huo usajili?



Soma na ile ibara ambayo inaruhusu kujumuika na kujiunga na vyama vya siasa.
 
Sio dini ni Madhehebu.

Kuna KKKT, Pentekoste, SABATO, Angliacan....hizi zinaendeshwa kwa mfumo shirikishi. Wana viongozi wao wanaochaguana kuendana na katiba zao.

Shida ipo huku kwa kina Mzee wa upako....Yeye ndio kila kitu, akiwaataka watu wakagaregare kwenye mafuta hakuna wa kumpinga.

Mkuu Mnatuchanganya
Mara Taasisi,Mara dhehebu,
Wanasajili nini?
Dhehebu ni Kama Roman catholic,Lutheran,Sabatho nk nk
Taasisi ni kama Zipi?
Nini Kitasajiliwa naomba mtoe na Mifano tuelewe!
Cc: YEHODAYA
 
Mkuu Mnatuchanganya
Mara Taasisi,Mara dhehebu,
Wanasajili nini?
Dhehebu ni Kama Roman catholic,Lutheran,Sabatho nk nk
Taasisi ni kama Zipi?
Nini Kitasajiliwa naomba mtoe na Mifano tuelewe!
Cc: YEHODAYA
Taasisi za dini au dhehebu hazitafanyiwa usajili .Kinachosajiliwa sasa Ni NGO zisizo za kidini zisizohusika na mambo ya dini

Madhehebu hayahusiki kwenye usajili huu wa sasa
 
Dini za ajabu ajabu ni za aina gani?
Kwa nini uislamu na ukatoliki sio dini za ajabu ajabu?
Mi ningekuwa rais ningefuta dini zote za ajabu ajabu kama za akina masanja. Ningebaki na uislamu na ukatoliki tu
 
Inahitajika udhibiti kwenye ili ene na tena wamechelewa...Wamini wanakuwa kama Mazezeta yaani wanaendeshwa sana na hawa wanaowaita Manabii n.k.

pastor.png
 
Inahitajika udhibiti kwenye ili ene na tena wamechelewa...Wamini wanakuwa kama Mazezeta yaani wanaendeshwa sana na hawa wanaowaita Manabii n.k.

View attachment 1898831
Mtu aabuduje sio kazi yako Wala ya serikali kumpangia

Anaenda mwenyewe kwa hiari mtu mzima hafungwi kamba wewe Nani umpangie asalije? Wewe Sali kwako ya wengine waachie wenyewe Kama wanajambiwa wanaambiwa ndio njia yao ya kubarikiwa achana hangaika na Hilo dini lako mwenyewe .Heshimu imani za wengine aabudu kuku au kinyesi Ni katiba imempa uhuru sio kazi ya serikali au wewe kupangia mtu mwingine staili ya kuabudu
 
Mimi
Unashangaa usajili wa dini mbona hushangai katiba kuruhusu uhuru wa maoni na kukusanyika lakini watu wakitaka kukusanyika mpaka kibao cha police??
Mbona hushangai watu wakitoa maoni kuhusu katiba mpya wanaitwa magaidi????
Uhuru upi unaoimba hapa???
Mimi Niko kinyume na hao magaidi halisi wa ccm mkuu Soma post zangu
 
Nchi hii magaidi ni ccm Kama nadanganya waseme wazi walishindaje;

Mbeya sugu
Hai mbowe
Iringa msigwa
Kigoma zito
Tarime heche
Mikumi profjize
Nk
Nk
Huku walishindaje Kama sio magaidi Hawa?

Na walichukiwa Kila Kona ya nchi je walishindaje majimbo yote? Isipokuwa nkasi?

Inamaana nkasi waliipenda chadema na hai,iringa, mikumi, mbeya, tarime wakaichukia chadema ghafla?
 
Back
Top Bottom