The Salt
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 390
- 1,036
Hapo kwenye (2) kifungu kinaanza na maneno haya; "Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano,.....
Hili suala la kusajili Dini/Makanisa si ndo sheria zenyewe za Jamhuri ya Muungano? Maana naona hapo Katiba inataja kabisa kuwa bila kuathiri.
I stand to be corrected.
Hili suala la kusajili Dini/Makanisa si ndo sheria zenyewe za Jamhuri ya Muungano? Maana naona hapo Katiba inataja kabisa kuwa bila kuathiri.
I stand to be corrected.