wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kama mikusanyiko tu inahitaji kibali sembuse hizo dini.
Wewe sali peke yako uone kama serikali itahitaji usajili.
Kuna kodi huko tunakusanya,sasa bila usajili tutajuaje?
Mna mali mtamiliki tusipo wasajili na kuwatambua hizo mali umiliki wake utakuwaje?
Wewe sali peke yako uone kama serikali itahitaji usajili.
Kuna kodi huko tunakusanya,sasa bila usajili tutajuaje?
Mna mali mtamiliki tusipo wasajili na kuwatambua hizo mali umiliki wake utakuwaje?