Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
😂😂😂 Watu watakula kipigo cha mbwa kokoKesho ndio siku ya kutafuta ulemavu wa kujitakia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Watu watakula kipigo cha mbwa kokoKesho ndio siku ya kutafuta ulemavu wa kujitakia.
Ni mbay and matters more kuliko drama za Dj baba ndubwiKuteseka na bei ya mafuta na tozo hizo ndo siasa mbovu za ccm au unadhani mateso ni haki yako
Mkuu usiteseke na tozo wala Bei za nafuga,Mimi napendekeza tozo za miamala waongeze maradufu.Huku mtaani nobody cares
tunateseka na tozo na bei za mafuta kuliko hizi siasa za kutafuta kiki Kwa pikipiki
Chadema hamna uwezo wa kuisumbua nchi
Hizo nguvu za kupambana na wafuasi wa cdm wanaoenda mahakamani kwa amani, mngezitumia kumkamata aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini.Wanaaanzia wapi? Kama hawajatangaza watapita mitaa gani basi ni wababaishaji tu.Kama wako tayari watuambie njia watazopita ili Amburance ziandaliwe kwa ajili ya casualties.
Yule KENGE alikufa kwa kifo gani?Nakuhakikishia kama Mungu aishi vyo kabla ya kumudunga kwenye familia yako watakufa watatu na wawili watakuwa walemavu wa kudumu.Tunaanza na huyu kengee wenuu tunamdugaa virus mdaa si mrefuu tuonee mtaishia wap
Tuletee mrejesho wa kikao chenu na mama wakimarekani; mbona kimya?Mungu ibariki Chadema
Ili mpate sababu ya kulaumu serikali sio?Mkuu usiteseke na tozo wala Bei za nafuga,Mimi napendekeza tozo za miamala waongeze maradufu.
Mafuta pia yapande Ili serikali ipate fedha za kugharamia shughuli za kila siku.
Hii ndo shida ya kutokuwa na elimu.Wale Covid 19 mmeshawasamehe?
Mpaka sasa hakuna kiongozi hata mmoja wa chadema alietangaza kuandamana. Hii inaonesha ni jinsi gani viongozi hao wanagwaya na kuogopa dola lililo chini ya mama shupavu, raisi na amiri jeshi mkuu mh Samia Suluhu Hassani.
Huniwezi Kwa elimu wala niniHii ndo shida ya kutokuwa na elimu.
Unadhani hata wakiongeza wengine 100 bungeni nani anayeteseka.
Bando zikipanda bei humu mnaanza kulialia.
Na mtatabika sana, hadi akili ziwakae vizuri, angalia kwa wenye siasa nzuri kama upuuzi kama huu upo!!eti mimi mambo ya siasa hayanihusu!!!siasa ndio kila kitu kwako,Huku mtaani nobody cares
tunateseka na tozo na bei za mafuta kuliko hizi siasa za kutafuta kiki Kwa pikipiki
Weye kama nani?Unaandika utadhani unamuandikia hawara yako wa form two ukiomba aje na buku mle barafu shuleni!Tunaanza na huyu kengee wenuu tunamdugaa virus mdaa si mrefuu tuonee mtaishia wap
Kesho ng'ombe wa maziwa anapelekewa majani. Polisi wanatamani sana mazingira hayo ili magaziti yapendeze.SIo la kuchekelea NCHI kesho inaingia kwenye Standby na ukiangalia CHADEAMA tokea mwanzo magwanda yao yamekalia kijeshi, hujisemea pengine inamahusiano na Jeshi wanaitana Makamanda, kesho si siku ya kulala mpaka ukakoroma.
Tanzania si shwari tena.
Hujui hata kinachokutesaHuku mtaani nobody cares
tunateseka na tozo na bei za mafuta kuliko hizi siasa za kutafuta kiki Kwa pikipiki
Amburance ndio nini mkuu?Wanaaanzia wapi? Kama hawajatangaza watapita mitaa gani basi ni wababaishaji tu.Kama wako tayari watuambie njia watazopita ili Amburance ziandaliwe kwa ajili ya casualties.