Kusema Kweli CHADEMA inatisha, nchi ipo kwenye STANDBY

Kusema Kweli CHADEMA inatisha, nchi ipo kwenye STANDBY

Wanaaanzia wapi? Kama hawajatangaza watapita mitaa gani basi ni wababaishaji tu.Kama wako tayari watuambie njia watazopita ili Amburance ziandaliwe kwa ajili ya casualties.
Labda wataandamana kwenye keyboard l, watabofya kila key iliyopo kwenye keyboard
 
Wanaaanzia wapi? Kama hawajatangaza watapita mitaa gani basi ni wababaishaji tu.Kama wako tayari watuambie njia watazopita ili Amburance ziandaliwe kwa ajili ya casualties.
Uoga wote wa nini kupiga wananchi wasio na mapanga?

Kama mnajiamini kwanini mnabeba mabunduki nakujihami kama mpo Somalia wakati raia hawana hata fimbo.

Uoga tu kama vipi wekeni silaha ghalani nendeni mkapambane na raia bila bunduki km hamkurud na mapengo.
 
Back
Top Bottom