SioAmani ni kitu muhimu
toa mfano wa siasa nzuri.Na mtatabika sana, hadi akili ziwakae vizuri, angalia kwa wenye siasa nzuri kama upuuzi kama huu upo!!eti mimi mambo ya siasa hayanihusu!!!siasa ndio kila kitu kwako,
Nasubiri muandamane ili na sisi tuponeHujui hata kinachokutesa
Labda wataandamana kwenye keyboard l, watabofya kila key iliyopo kwenye keyboardWanaaanzia wapi? Kama hawajatangaza watapita mitaa gani basi ni wababaishaji tu.Kama wako tayari watuambie njia watazopita ili Amburance ziandaliwe kwa ajili ya casualties.
Uoga wote wa nini kupiga wananchi wasio na mapanga?Wanaaanzia wapi? Kama hawajatangaza watapita mitaa gani basi ni wababaishaji tu.Kama wako tayari watuambie njia watazopita ili Amburance ziandaliwe kwa ajili ya casualties.
At least inamkosesha usingizi Sirro.Chadema hamna uwezo wa kuisumbua nchi
Ila wabambikaji wanauwezo sio?Chadema hamna uwezo wa kuisumbua nchi
Hapana Ili serikali ipate mapato zaidi. Kwani Wana Ccm mko exempted na tozo?Ili mpate sababu ya kulaumu serikali sio?