MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wewe umeuliza kuhusu biashara zake lakini bado unabisha kama taahira. Elewa Mbowe kazikuta mali na biashara za familia na anaziendeleza. Jikite kwenye ulichouliza.Kwa hiyo siasa za bongo ni maji taka. Ndo mana mbowe anatupiga fix kuwa anaibeba chadema.kumbe chadema ndo inampa ulaji ndo mana kuliko amwachie mtu uenyekiti ni heri afia humohumo