Taikon hapa hapana. Kwa mfano issue ya nuclear rais anajua nini? Sasa wataalamu wa nyuklia wanaweza kumuingiza Chaka au hata issue za kisheria...Kuwa na Washauri ni kawaida. Lakini washauri wanaokupotosha na ukafanya hapo ndipo mada yangu ilipo.
Nje ya mada kbsa umekwenda wee mfia diniMa Rais dunia nzima wanategemea ushauri....hakunaga kitu kama Rais mwenye akili...na Rais asie na akili..
Akili ya ma Rais wote hutegemea advisors ndo maana wenzetu wameenda mbali Sana na kuweka washauri rasmi wa Rais Kwa kila kitu...kuanzia siasa Hadi Uchumi...washauri wanatangazwa wanajulikana na CV zao zimeshiba
Wamarekani wameenda mbali zaidi
Mfano kuna mshauri wa uchumi anaelipwa wa Rais. Halafu kuna mshauri wa uchumi anaelipwa wa Makamu wa Rais ...halafu kuna waziri WA fedha na yeye ana mshauri wa uchumi anaelipwa wa waziri WA fedha...bado kuna washauri Tele wa wizara wanalipwa, the list goes on..
So Kwa Wamarekani likija suala la uchumi mezani Kwa Rais ...unakuta kuna PhD kama 10 hivi zimechangia Hilo wazo.....na mapendekezo.
You are only smart if you surround yourself with people who are more smarter than you
Taikon hapa hapana. Kwa mfano issue ya nuclear rais anajua nini? Sasa wataalamu wa nyuklia wanaweza kumuingiza Chaka au hata issue za kisheria...
Hapa ndio hoja ilikoOfisi kuu ya nchi inahitaji mtu mwenye uwezo wa juu wa kutafakari mambo mazito Kwa kina
Hiyo ni tafsiri Yako,sheria zetu zinaweka distinction hasa Kwa ngazi ya Rais
Waliokuzunguka wakiamua unaingizwa Chaka rais ana mafaili Mengi sana atachunguza mangapi ukizingatia bi mdoshi dizaini hapendi kusoma....Kwa ninavyomuonaUnaweza ukashauriwa Jambo ambalo huna ujuzi na ufahamu nalo.
Lakini unaweza pia kulichunguza Kwa namna nyingine jinsi likavyotokea Huko Duniani au sehemu zingine.
Ushauri mwingi sio Mpya. Mashauri mengi ni kesi zilizopo mahali pengine, Kwa nchi yetu mambo karibia yote tunayatoa katika mataifa mengine. Hivyo mtu anaweza akakushauri Jambo na Kwa vile sio jipya unaweza kuchunguza ushauri huo ulivyotumika maeneo mengine na matokeo yake.
Raisi hakosei labda atoke waziwazi akiri kuwa alikosea.
Tofauti na hapo, ikiwa nyeupe ni sifa kwa raisi na ikiwa nyeusi wateule wamempotosha na atawajibika mtia saini/mkuu wa idara/wizara n.k yeye kama yeye binafsi.
Thisi izi Afrika my furendi.
Waliokuzunguka wakiamua unaingizwa Chaka rais ana mafaili Mengi sana atachunguza mangapi ukizingatia bi mdoshi dizaini hapendi kusoma....Kwa ninavyomuona
Subiri Maza atachezeshwa isidingo mpaka ajue wabongo sio wazenji ashtuke mapema kama anataka kutoboa mpaka 2030! Ye ajifanye kuwaamini akina Madelu systemNdio maana Rais anatakiwa achague Watu sahihi. Ili apate Matokeo sahihi.
Watu wenye uadilifu, maarifa, ujuzi, Elimu, uzoefu, haki, wasema kweli.
Hivyo ni kosa la Rais ikiwa atateua Watu(wateule) wasio na Sifa.
Hivyo kudanganywa au kupotoshwa ni muendelezo wa kosa la Kwanza la uteuaji.
Upo Mkuu
Jamaa huyu the boss Ni debe tupu sikudhanigi Kama Ana mawazo mgando namn hiiTatizo we kinachokusumua ni udini. Nilikuaga nahisi utakua mtu wa maana hapa jukwaani kumbe debe tupu.
Kadri unavyozidi kufungua kinywa ndo unaonekana empty. Mleta mada hajampoint kiongozi yoyote kwa jina lake bali kaizungumzia taasisi ya Urais.
Mbona Taasisi ikifanya jambo zuri mnakimbilia kumpongeza kiongozi si mngekua mnawapongeza washauri?
Subiri Maza atachezeshwa isidingo mpaka ajue wabongo sio wazenji ashtuke mapema kama anataka kutoboa mpaka 2030! Ye ajifanye kuwaamini akina Madelu system
Haelewi Hilo ,kina mwigulu wote Ni washauriMkuu,
Kwani wewe unaposikia "washauri wa rais" unafikiri nini?
Unaelewa kuwa kwa kuanzia tu, ukiacha hao wanaoteuliwa kuwa "mshauri wa rais wa ...", unaelewa kuwa cabinet nzima ni washauri wa rais?
Sembuli umemkumbuksje hapa mkuu?Hadi nimekumbuka Gibson Sembuli aaaaaaaaa!!!!!!!
Kwanza hakuna nilipoandika well informed bank.Ww ndo mafuru ,eti well informed bank
Kuanzia na sheria ya Kinga Kwa Rais na tafsiri zake ndio maana hakuna mahala unaweza mshitaki RaisSheria ipi?
Hii habari ni ya kweli, soma biography za Issa Shivji na wenzake za Nyerere.Kama hiyi habari niyaukweli basi rais Nyerere alikuwa mjinga na Mpumbavu ...huwezi kukapata ushauri kwenye mambo ya straightforward kama hayo.