Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

inaweza kua kweli kwa mtazamo na maoni yako,
hata kuna msanii mwingine aliimba lakini, yeye alienda mbali zaidi kwa kusema Yuko Bongo kwa bahati mbaya tu...

hizo zote ni nadharia tu hususan kwa waliokosea ai kushindwa kukabkiliana na hali maisha ya maeneo hayo...

kwa mfano kuna mwingine anaweza kua na mawazo kama yako na kua na nadharia kama hiyohiyo akiisemea Njombe, Tanga, Shinyanga au Arusha kwamba ni chafu au haikupangwa vyema,

anasahau kwamba anawajibika kurekebisha au kuchochea hali nzuri zaidi kama anavyotamani...

kwa pamoja, tunaweza kubadili mazingira na hali ya maisha tunamoishi...
Dsm ni Jiji au Zizi ???
Je, Dsm ni mji msafi? Una Mipangomiji mizuri? Una miundombinu bora ya barabara, majengo, n.k?
Ina Huduma bora za Usafishaji Jiji? Nyumba/majengo mangapi yaliyopo kwenye mji huu wa Dsm yanafikika kwa barabara bora za Lami???????
 
Dsm ni Jiji au Zizi ???
Je, Dsm ni mji msafi? Una Mipangomiji mizuri? Una miundombinu bora ya barabara, majengo, n.k?
Ina Huduma bora za Usafishaji Jiji? Nyumba/majengo mangapi yaliyopo kwenye mji huu wa Dsm yanafikika kwa barabara bora za Lami???????
can we together joins our brains, efforts and make it planned, clean and the most attractive city in Africa and the world at large?

I believe and think we can
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k..
hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine,
kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama.
asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote.
Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa..
kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
Karibu Jiji la dar es salaam Jiji la Raha
 
Dar moto wa kuotea mbali, jamaa kashuka kutoka shamba na simu yake, kaporwa na jamaa, akiwa anamfukuza wakamwambia leta begi tukushikie ukimshika tuje tukusaiduie. Simu ikaenda na begi likayeyeyuka. Nini uzuri wa Dar?
 
Dar moto wa kuotea mbali, jamaa kashuka kutoka shamba na simu yake, kaporwa na jamaa, akiwa anamfukuza wakamwambia leta begi tukushikie ukimshika tuje tukusaiduie. Simu ikaenda na begi likayeyeyuka. Nini uzuri wa Dar?
mjini shule..

huyo ni welcome dar es salaam
For sure to me,
Dar es salaam is nice place for hustles and kwakweli living
 
Jamaa anawakilisha kundi la wabunge ambao muda huu dar hapakaliki.Wanarudi mikoani kuaanda "mazingira".
IMG-20240323-WA0005.jpg
 
Dsm ni miongoni mwa miji ya hovyo kabisa kwa binadamu kuishi.
It's among of the most dirtiest & unplanned towns in Africa.

Kuna msanii mmoja wa muziki wa kizazi kipya huko miaka ya nyuma aliwahi kuimba wimbo wake aliouita kwa jina la 'Mwanza ni Jiji au ZIZI ??? The same applies to Dsm.
Endelea kuishi kijijini mkuu acha wivu
 
soi rahisi, haiwezekani na sio vizuri kuwatelekeza wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na wanainchi wapendwa na wa muhimu sana...
Kama huku huna nyumba, na watoto wako hawajawahi kusoma mojawapo ya shule za hapa kwetu, usije, baki Dar, we si mwenzetu!!!
 
Kama huku huna nyumba, na watoto wako hawajawahi kusoma mojawapo ya shule za hapa kwetu, usije, baki Dar, we si mwenzetu!!!
miongoni mwa vijana wangu ni wazaliwa wa hapo Amana Referral 🐒
 
Back
Top Bottom