Alichokosea 'Mheshimiwa sana' huyo ni kuwa Mafia haiko Lindi. Au ndo ameshaanza kushughulikiwa bila yeye kujijua?!!! Asije akajikuta anapifa kampeni jimbo la mtu mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichokosea 'Mheshimiwa sana' huyo ni kuwa Mafia haiko Lindi. Au ndo ameshaanza kushughulikiwa bila yeye kujijua?!!! Asije akajikuta anapifa kampeni jimbo la mtu mwingine.
Acha ushamba ni mkoa upi unaweza kuuzunguka kwa siku moja?Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒
Thank you Dar es Salaam..
Dar usumbufuKwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒
Thank you Dar es Salaam..
inawezekana🐒Mtazamo wangu; mtoa mada anaondoka kwa masikitiko mno hapo Dar. Inaonekana akili na mwill vyote vipo hapo ila ndo basi hana namna tu kutokana na msukumo wa maisha.
hawa waganga wanaoganga wanasiasa saa zingine, wanachota na kugeuza akili, mioyo na fikra za watangaza na kuwavisha ujasiri na uhakika wa kupindukia, ambao bahati mbaya akakwama, huyo jamaa haitachukua zaidi ya wiki2 anaweza ku R.I.P🐒Alichokosea 'Mheshimiwa sana' huyo ni kuwa Mafia haiko Lindi. Au ndo ameshaanza kushughulikiwa bila yeye kujijua?!!! Asije akajikuta anapifa kampeni jimbo la mtu mwingine.
Sema huna helaUzuri uko kwenye macho ya mtu.Dar ni Moja ya Miji siwezi kuishi na sioapendi.
Wenzenu huko Sudan wamefunga shule kukimbia joto na Mimi Sasa na joto ni hatuendani.
Ushamba mbaya sanaKwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko [emoji205]
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. [emoji205]
Thank you Dar es Salaam..
Nikajua born twn,kumbe mrugaruga,haya wasalimu huko umatumbini.Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.
Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒
Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.
Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒
Thank you Dar es Salaam..
Ukiwa na hela Dsm hakuna jotoUzuri uko kwenye macho ya mtu.Dar ni Moja ya Miji siwezi kuishi na sioapendi.
Wenzenu huko Sudan wamefunga shule kukimbia joto na Mimi Sasa na joto ni hatuendani.
IRinga mjiniTaja mkoa ambao unauzunguka siku moja unaumaliza
Iringa mjini sio mkoa bali ni makao makuu ya mkoa.IRinga mjini
Akili yako mtu akiwa dar anaweza kwenda kutembea Mabwepande au Kibwegere ?Iringa mjini sio mkoa bali ni makao makuu ya mkoa.
UjingaUkiwa na hela Dsm hakuna joto
Kwenye Joto unanunua AC tu,Uzuri uko kwenye macho ya mtu.Dar ni Moja ya Miji siwezi kuishi na sioapendi.
Wenzenu huko Sudan wamefunga shule kukimbia joto na Mimi Sasa na joto ni hatuendani.
South itakua chuo kikuu cha ninidar ni chuo kikuu cha maisha aise